Uchaguzi 2020 Polepole: Zitto Kabwe atafute kazi nyingine, 2020 hatarudi Bungeni

Uchaguzi 2020 Polepole: Zitto Kabwe atafute kazi nyingine, 2020 hatarudi Bungeni

Jamaa simpendi huyu sura kama mzee anaroho mbaya kama bosi wake.
 
Hao madiwani wanatekeleza ilani ya ccm maana ndiyo iliyoshinda kwenye uchaguzi mkuu wa 2015. Ilani za vyama vingine zilishindwa, hivyo haviwezi na hairuhusiwi kisheria kutekelezwa sehemu ye yote ya nchi. Hii ni kwa mjibu wa katiba na sheria zetu. Ilani ya ccm inatekelezwa nchi nzima. Jimbo la ushindi la ccm ni nchi nzima na ndiyo maana Polepole ana legacy ya kutembea nchi nzima na kukutana na wananchi popote pale nchini kuhamasisha, kuelimisha na kusimamia utekelezaji wa ilani hiyo ya nchi.
Oh! Kwa hiyo successes na failures za utekelezaji wa masuala ya maendeleo kwenye majimbo na kata zote ni matunda ya CCM, siyo? Natumaini mtakumbuka hili kwenye kampeni, na siyo muanze kuwaponda wapinzani kwa kushindwa 'kuleta' maendeleo kwenye majimbo na kata zao.
 
Mh Rais mwenyewe alitoa mwisho Iwe mwezi wa 11 mwaka jana(2017)
Yy nani Mr Buyer Slow slow!??[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Anadhani Kigoma kuna malofa wapumbavu.
Chini ya upinzani maendeleo yaliyominywa miongo kadhaa yanaonekana.
Najiuliza tu HIVI SLOWSLOW ndio mpiga kura wa Kigoma?
 
Anaongelea mambo ya 2020 wakati tar26/4/18 nasikia raia wataingia mtaani yangu macho
 
Mkuu umeongea ukweli kabisa alafu cha kuchekesha jimbo hilo limeshawahi kuwa chini ya CCM kwa takriban miaka 40 na hakuna la maana wabunge wa CCM walifanya leo hii wanataka kulirudisha kwa hoja gani??

Yaani wanataka kurudisha majimbo yote ya upinzani CCM kana kwamba majimbo yaliyo chini ya CCM kwa miaka 60 kama chemba, uyui au kibakwe yana maendeleo makubwa hadi kutuaminisha jimbo likirudi ccm linapata maendeleo!!

Hawa jamaa wanashangaza sana
Mkuu jina maarufu wanaitwa "MALOFA WAPUMBAVU"
ELIMU BILA KUJITAMBUA SAWA NA UKARIRIFU WA KASUKU
 
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Humphrey Polepole amefunguka na kusema Mbunge wa Kigoma mjini kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Zitto Kabwe mwaka 2020 atafute kazi nyingine ya kufanya kwa sababu jimbo hili litarudi kwenye Chama Cha Mapinduzi (CCM)

View attachment 718311

Polepole amesema hayo Machi 17, 2018 wakati akifanya ukaguzi wa mradi wa kusambaza maji mkoa wa Kigoma ambapo amesema kuwa wanataka kuhakikisha kuwa mkoa huo unapata maji safi kabla ya mwaka 2020.

"Mkandarasi ameniahidi mpaka mwezi wa tano maji yataanza kutolewa kwa karibia asilimia mia moja katika mji wote wa Kigoma Ujiji na maeneo ya pembezoni na mimi nimezungumza na viongozi wenzangu wa CCM wafike hapa mwezi mmoja kutoka leo kujiridhisha juu ya maendeleo ya kukamilisha mradi huu na kupeleka maji katika mji wetu wa Kigoma , sisi tunafanya hivi sababu tunao mkataba na wananchi na tunataka kuukamilishe mapema kabisa kabla ya 2020 ili ifikapo 2020 basi mbunge wa hapa atafaute kazi nyingine" alisisitiza Polepole

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Humphrey Polepole yupo mkoani Kigoma katika ziara ya Kukagua na kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM Mwaka 2015 - 2020

Chanzo: EATV
Anamhamisha yeye? Afanye kilichompa kiti
 
Huyo polex2 mfuasi wa shetani anatekeleza ushetani kuharibu umoja wa taifa letu kwa garama yeyote.Kwa siasa za kijanga na ushamba.
 
Elimu, elimu, elimu hili ni tatz kubwa Sana kwa watz tulio wengi hata hyo polepole.hv anajua majukumu ya serikali kw wananchi kwl? ,hv anajua jukumu la mbunge n nini? ,hv anadhani serikali kupelek miradi kwa wananchi n hisani wachague ccm au?.Tuna safr ndefu kuondoa hizi dhana mufilisi za kina polepole
 
Akamuulize sabufa aliyemwambia atamfunga mdomo ZZK bungeni yu wapi sasa.. Ulimi ni kiungo kidogo sana ila kina maajabu sana
 
Badala ya kuhangaika na majimbo yanayoongozwa na upinzani wangejikita kwenye majimbo masikini kupindukia yanayoongozwa na wana ccm, mfano Kongwa kwa Job, Chemba kwa Nkamia, Mtela kwa Kibajaji, Kilindi, Pangani na mengineyo! 90% ya majimbo yanayoongozwa na Ccm ni masikini mno na hawana muda nayo! Ila Polepole ni miongoni mwa watu wanafiki sana!
 
Nani amemruhusu kuzungumza hayo wakati sasa si wakati wa siasa? double standards
 
Mabilioni anayovuna kwenye huu mradi haramu wa kununua wapinzani uchwara yamempa kiburi sana huyu chakubanga.
 
Wewe Polepole , polepole , polepole endelea kura huo mkate wa ukatibu ila sisi watu wa kigoma huwa hatupendi utani wa kitoto kama huu tunakuomba uachane na Zitto lasivyo tusije tukalaumiana.
 
Back
Top Bottom