Uchaguzi 2020 Polepole: Zitto Kabwe atafute kazi nyingine, 2020 hatarudi Bungeni

Ccm ina survive kwa sababu ya ujinga, umasikini na maradhi ya Watanzania, huwezi kuwa na taifa lililostaarabika ukakumbatia chama kilichoshindwa kutatua changamoto za miaka nenda rudi.

Ndio maana kwa sasa hawana ushawishi wa hoja zaidi ya kutisha, kujeruhi kuua na kuvunja katiba na sheria za nchi waziwazi tofauti na awamu zilizopita
 
Polepole ww ni Mteuliwa kabla kutoa kauli itadhimini kwanza. Zitto ni Mchumi kwa hiyo hawezi kuangaika hata uhadhuri ni kazi kwani huko vyuoni kuna watu hawajapata elimu ya uraia kwa hiyo atakuwa sio zitto wa mchezomchezo .Unamkumbuka Chachagechage na wengine wengi kwa hiyo kaa nalo hili
 
Hii ni kweli kabisa. Nitafanya kazi ya Urais
Naona povu limeanza...Kama hautaachana na twitter na kujikita kwenye issue za wana kigoma ni wazi ubunge ni bye bye....
 
inajulikana 2020 hakuna upinzani atakaerudi bungeni sijui kama mbowe na wenzake wanalitambua hilo. ccm itachukua majimbo yote kwa nguvu na hili ni agizo kila mkurugenzi wa halmashauri analijua.
 
Kama Polepole anakagua miradi inayotekelezwa na serekali ya CCM haulizwi wala haambiwa Kuwa kufanya hivyoni kosa kwa Kuwa mikutano ya wanasiasa na kazi zozote za wanasiasa zimepigwa marufuku kufanywa tofauti na majimboni kwao.

Wakati huohuo Zitto ambaye maneno haya yamesemewa jimboni kwake ana kamatwa na kuswekwa lupango Kwa Kuwa amekwenda kugua miradi inayosimamiwa na madiwani wa chama chake. Kwa ubaguzi Kama huu kweli Mungu atakwenda kutupa nafasi ya kuwaongoza malaika Kama tulivyoomba?.
 
Taifa limekosa dira mkuu, ni mwendo wa kuvunja miiko ya taifa hili kwa kukanyaga katiba na sheria zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…