Uchaguzi 2020 Polepole: Zitto Kabwe atafute kazi nyingine, 2020 hatarudi Bungeni

nyuso zingine ndio maana huwezi jua kama zina ukoma au hazijanwa majihazina soni.
 
Na yy atafute kaz nyingine.Hii ya sasa imemshinda.kaz ya ununuzi na ugavi wa wanasiasa sio nzuri..
 

Ili kuokoa pesa watangeze tu majimbo yaliyowazi including la zitto wateu watu wao hiyo pesa tukachimbie visima kule tarura ya maji.
 
Sijui polepole anaongea na injinia wa maji kama nani...hii nchi ni ya maajabu
 

Kazi ya usambazaji wa maji either ni ya wizara ya maji na umwagiliaji au halmashauri ya mji
Katibu mwenezi anaweza kusubiri miradi ikishafunguliwa awaambie wananchi jinsi serikali ilivyoweza kutimiza ahadi zake
Kumpangia mkandarasi targets hiyo ni kazi ya wizara, mhandishi wa maji, au mkurugenzi
 
Zito ni msomi mzuri tuu. Ana karata nyingi ikiwemo ya kuhamia kwenye chama dola. 2020 wapinzani watahamia wote CCM hata wao wanahitaji kula na wanafamilia pia
 
Hii zana ya kununua ni kichaka kipya cha ufipa boys kujificha ili wapate nafuu wakati chama kinateketea.

Stop this nonsense .
Mungu aliongea nasi kwa kupitia mbunge Nasari akafanya kazi kiusahihi kama alivyotumwa na iliyompendeza Mungu kuleta ushahidi wa kununua madiwani ( Mnyeti). Sio lazima ukubali lakini ukikataa huu ushahidi wewe utakuwa shetani. Boy stop satanic behavior!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…