Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayati Baba wa Taifa Mwl. J K. Nyerere alishawahi kutoa ushauri na kuiambia serikali ya wakati ule walipokuwa wanawazuia watu kumbeba Mh. Mrema kwamba "Kama kuna watu wanaotaka kumbemba Mrema wakati yuko katika chati waacheni wambebe, na hata kama wananchi wataamua kusukuma gari yake kwa umbali mrefu waacheni msiwazuie...." Waungwana wote kabla ya kuingia katika mjadala huu na kujibu juu swala hili nawaomba mtafakari kwa makini na uangalifu mkubwa na kutoa sababu unazodhania Polisi ambao wanajiita USALAMA WA RAIA wanakataza maandamano hata kama wanahakikishiwa kuwa yatakuwa ya amani na utulivi, badala yake wanatumia nguvu kubwa SANA kwa gharama yoyote bila kujali chochote kuyazuia bila ya sababu za msingi na kuhatarisha amani na hata kusababisha vifo, inatisha inaniuma sana !!!!!!!!!!!!!!! pengine katika mjadala huu mtawasaidia POLISI ya tanzania
Inaelekea kikao cha juzi cha Kamati Kuu ya CCM kiliazimia kuanza rasmi kutumia polisi kuvuruga mikutano ya CHADEMA.
Tukumbuke vile vile Slaa aliwahi kutangaza kwamba CCM ilikuwa na mkakati rasmi wa kuanzisha vurugu.
Wanasikitisha sana viongozi wa CCM. Wanaogopa majina yao yatatajwa kwenye rabsha la kutoroshea fedha nyingi mafichoni Uswizi. Papo hapo CHADEMA inawasambratisha kila kona. Wameamua wajaribu kutegemea mbinu za kinduli.
Tatizo siyo polisi tatizo liko kwa wale wanao watumia. kwani polisi anafanya kazi km anavyoelekezwa na bosi wake.kitu kinachotakiwa kwa askari yeyote nikutii amri tu na sivinginevyo.tatizo liko kwenye matumizi namna unavyo watumia wewe km bosi wao.hakuna askari ambae anaweza kufanya kazi yoyote bila kuamliwa. vinginevyo anatakiwa ashitakiwe.tatizo liko kwa mabosi wao ambao wengi wanajuwa fika kuwa serekali ilioko madarakani ikiondoka lazima w ataondoka nayo.ili aendelee kuwepo madarakani nilazima ahakikishe anailinda serekali yake kwa gharama zozote.askari wa chini yeye hana tatizo lolote kwa sababu hakuna anachokipoteza ije serekali ya chama chochote kile, yeye atakuwepo tu.ukizingatia kuwa hakuna chama chochote kitakacho kuja na askari wake baada kupewa ridhaa Ya kuongoza dola,bali kitawatumia askari hawahawa waliopo.kinachotakiwa nikuiondoa sekali ya ccm madarakani kihalali ili askari watumike vizuri.
Maandamano ya amani ni pale wananchi wanapoandamana kwenda mahali walipokusudia bila kufanyaTueleze kwanza maandamano ya amani yapi ? yana utaratibu upi ? na waandamanaji wanatakiwa wafanye nn ? ukiweka wazi hayo ndipo tukujibu murua hapa jamvini
Well said kamanda,tunajiandaa kifikra na kiakili...adui yetu ni ccm na policcmagamba...kupona kwetu ni kujilinda sisi wenyewe kwani tumetambua nia yao ni kuua na si kulinda tuache woga kwenye kutetea maslahi yetu na uhai,haipingiki kwamba kwa sasa adui wa mtanzania ni polisi,kwa sababu tumemjua adui yatupasa kujiandaa kumkabili,kama hawarejei misingi ya kazi yao wajihadhari kwani watz as soon tutachoka kupoteza wenzetu.
Nimesoma mahali, kumbe Afande Saidi Mwema ni shemeji wa nanii!,
Kiukweli, ukimuangalia Saidi Mwema usoni, unamuona wazi, he is not brutal as opposed to Mahita, hii inamaanisha, genuinily anachukizwa na brutality ya vijana wake, swali linabaki ni what is he doing!.
Pasco.