Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know!

Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know!

Sometimes i try to position myself on their side(Police/Defence)with regards to series of events and realize;

1.Polisi hupokea Amri(Order/Command) na jibu lao likiwa
moja(Ndiyo Afande).. LAKINI hii sidhani kama ni sababu
ya kuwafanya wapumzishe akili zao wakiwa makazini na
kuzi-activate tena wakiwa nje ya kazi zao(Familia, jamaa
na marafiki)

2.Inawezekana wanafanya hivi kwani wanajua hatuwezi
kuwashtaki, tunaishia kuongea na kufarijiana..Lakini
uthibitisho upo na wanasheria wapo lakini tunaishi katika
nchi hii kama tumepewa "zawadi" na watu fulani..and
tunashindwa hata kugoma(kwa nia njema) kwamba
waliotenda makosa wawajibishwe..kama tunashindwa
haya sioni dalili ya wao kuendeleza dhuluma
watupatiayo.
 
Polisi ni watu tunaoishi nao mtaani,je tunaweza kujilinda dhidi yao?maana unafiki hatutaki tena.
 
HILI LINCH LA AJABU SANA, MAUAJI YANATOKEA KWEUPEEE tena kwa uonevi, lakini hatujigusi tunaona tuu ewala ewala mkuu wa nchi. Wanasheria wapo, Haki za binadamu wapo, Viongozi wa dini wapo, mabalozi wa nchi mbalimbali duniani wtaarifa zinawafikia, wananchi nao wanashuhudia LAKINI hakuna hatua yoyote ya kuishinikiza srikali au hata kulishitaki jeshi la polisi.
 
Friend, can't agree more. Thanks.

Kuna sheria inaitwa Inquest Act, ingefaa sana kutumika lakini matatizo wote tuaogopa kuitumia na mwishoni wanaoua wanaachiwa, kwa sheria hiyo hapo juu angalau kesi ya nyani haiendi kwa ngedere.
 
Na sasa wamemuua Daudi Mwangosi, wakumbuke nguvu ya umma haizuiliwi kwa risasi, shame on you Magamba
 
... Na sasa pia tuone mshikamano na nguvu ya waandishi wa habari juu ku REACT kwa kalamu zao juu ya kuuwawa kwa mwenzao.Walianza kutoa roho za wasoma magazeti, Wakaja kuua muuza magazeti, wakaja tena kumuua mwandishi wa magazeti, hatujui nani atafuata na ni kwa mkoa upi?
 
Mwili%2Bwa%2B%2BDaudi%2BMwangosi%2Bukiwa%2Bumechanika%2B%2Bvibaya.JPG
 
Haya yote ni kwa ajili ya kuilinda serekali ya ccm au?.
 
Haya yote ni kwa ajili ya kuilinda serekali ya ccm au?.
 
leo asubuhi nimemsikia ndugu yetu JOHN HECHE akihoji akimjibu mwandishi wa habari wa ITV bi FATUMA ALMAS NYANGASA kuwa watu waliandamana mgodini tarime kwa kuwa polisi kati ya tarehe 29 na trh 1 waliua watu watatu katika mwendelezo wa mauaji ya raia TARIME mwandishi akahoji kwa nini waandamane HECHE akasema hawawezi kuvumilia kuona polisi wakiua watu lazima wachukue hatua kali sasa ndugu zangu wanajf kwa hili la iringa la DAUDI MWANGOSI WANAHABARI LAZIMA TUAMKE BILA UOGA KUANGALIA KWA NINI MWENZETU KAUWAWA KINYAMA la sivyo hatuko salama tena aaaaaaaaaaaaa
 
Kwa kweli polisi watamaliza raia kwa kisingizio cha kuzuia ghasia! Inasikitisha sana. Kwa nini wasiwaache watu waandamane au wafanye mikutano yao kwa amani? Wanapopiga risasi za moto bila mpango wanaua yeyote yule awe mpita njia au mfanyabiashara katika eneo lake la kazi.
 
ishara zinatosha kuwa polisi si wenzetu tena na kila polisi atende anavyoweza ila na yeye asishangae nduguye yeyote kufanyiwa yale yale na polisi wengine wa pale alipo
 
Katika siku niliyoumia ni leo.nimekosa amani kabisa moyoni,hapa mbeya kila kona gumzo ni hilo.tufanyeje jamani?,tukimbilie wapi sisi? Hii sio nchi tuliyoachiwa.
 
polisi hawaui street watu wana access ya kumaliza familia nzima wakati wao wakiwa katika kazi za CCM,kuharibu vijumba vya rushwa.Polisi wanapenda chakula cha bure hata cha wafungwa kuwapa sumu ni easy sana.

Polisi wajue pia haya.mabomu ya mombasa pia yanaweza fikishwa na ndugu wa Kinana hapa bongo.Polisi wajue vimishahara vya kunywea bia hivyo vitawafanya wafe bure na familia yao hatokuwa na mtu wa kuwapa ujira kwani ccm haitokuwepo uda mfupi baada ya 2015.Polis hawajaangalia wenzao waliostaafu wanavyopigika uraiani wakipiga mizinga ,wengi wamekosa hata kazi ya ulinzi katika vikampuni ya ulinzi vya kwenye mkoba.
 
0.jpg


Hapa ni zanzibar Police in action

police_brutality_1.jpg


image995435x.jpg


Police in action zanzibar

...............................................
...............................................


Kiongoz wa CDM alipokamatwa na police

benson-kigaiya-akiwa-chini-ya-ulinzi-wa-polisi-wa-ffu-5-huku-wengine-wakinyatia-kwa-pembeni-akiambulia-makofi-ya-mgongo-na-makalio.jpg


Police alipompiga Risasi msomaji magazeti morogoro

Muuza+magazeti+aliyepigwa+risasi+ya+kichwa+na+kufariki+dunia+wakati+wa+vurugu+za+Polisi+na+Chadema+Morogoro.jpg


Kifo+Moro.jpg


Update from Iringa 2/9/2012
IMG_1917.JPG


Mwili%2Bwa%2B%2BDaudi%2BMwangosi%2Bukiwa%2Bumechanika%2B%2Bvibaya.JPG


There United Nations; United States of America Embassy; Brittish Embassy; EUROPEAN UNION; Swedish Embassy na Bado

Hamjapeleka Malalamiko yenu huko Inasikitisha; wote Mnaongea humu tu... Mimi Sio nyumbani na SINA Ushahidi NYINYI MNA

USHAHIDI wa kutosha... Kwanini NCHI HII IWE KAMA RWANDA???
 
Na mbaya zaidi hakuna kiongozi wa serikali anayekemea haya mauaji!!! Watasingizia kuwa huyu mwandishi yale alikuwa analeta fujo? Tupelekeni tu mnakotaka ila bado kidogo itakula kwao!!!!
 
Niliwahi andika thread moja huko siku za nyuma lengo ilikuwa kuelezea kisaikolojia na kisaikoanalisis polisi ni nani. Kundi hili linajumuisha makundi yote yanayohusu usalama wa raia/taifa, ulinzi nk. Kisaikolojia watu wanaopaswa kudahiliwa kujiunga na taasisi hizi ni wale ambao uwezo wao wa kufikiri na kuelewa ni mdogo. Kwa hiyo basi, hata mitaala yao hutumia zaidi kanuni ya kuambukiza tabia. Ulipokuwa shule ulifundishwa jinsi ya kuambukiza tabia ya sumaki kwa kitu kisicho sumaku. Mbinu hii ndiyo msingi mkuu wa kufundishia vikosi vyote vya usalama na ulinzi duniani kote. Ile nadharia ya mrusi (Pavulov ) aliyoitumia kumfundisha mbwa tabia fulani fulani; ndiyo nadharia ile ile inayotumiwa kufundisha vikosi hivi.

Hata kama unajiunga na vikosi hivi au taasisi hizi huku ukiwa ni wa kiwango cha juu kiakili bado utafundishwa na kufanywa sawa na hao wengine uliowakuta. Miaka ya hivi karibuni watu wengi wenye taaluma mbali mbali wamekuwa wakijiunga na taasisi hizi baada ya kuhitimu vyuo vikuu. Matokeo yake wengi wamekuwa wakiondoka na kuachia ngazi. Madai yao ni kwamba wanaondoka kwa sababu ya "job mismatch". ukweli ni wa kisaikolojia zaidi kuliko madai yao ya eti "job mismatch.

Kwa hiyo, USISHANGAE KUONA TABIA NA VITENDO VILE VILE VINARUDIWA RUDIWA. Wakisema tutaUWA hawatanii NDIVYO walivyo.
 
Back
Top Bottom