Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know!

Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know!

USISAHAU na kuijulisha Dunia jinsi sisi watanzania tulivyo wanafki. Nasubiri majibu ya Dunia baada ya kujua.

Apumzike kwa amani Aquilina, na pole kwa familia yake.
 
Wakuu ni ombi tu hizi picha zinazidisha hasira kwa wale walio namna moja au nyengine athirika na fujo au matukio hayo. Sidhani kama ni busara kuziweka kwani unachochea chuki katika jamii!! Ni mtazamo tu.
Wewe ni m.a.k.u.
 
Wakuu ni ombi tu hizi picha zinazidisha hasira kwa wale walio namna moja au nyengine athirika na fujo au matukio hayo. Sidhani kama ni busara kuziweka kwani unachochea chuki katika jamii!! Ni mtazamo tu.
huwezi kuficha mavi kwa kiganja, harufu itakuumbua tu.
 
utashangaa huyu kijana,polisi anaitwa benjamini kweli hivi wewe kijana tumepaka majivu jumatano unaamka asubuhi unasali unamuomba MUNGU niende salama kazini pepo na mashetani yote yakaondoke kwenye mwili wangu,kwamba nisimkwaze mtu yeyote mimi nikawe mlinzi wa amani kwa watu wote kama ni benki kama ni baharini kama ni stendi halafu mwisho unafyatua risasi kumpiga mtu mwingine JONI POMBE MAGUFULI MWEZI HUU NI MUHIMU KWAKO waambie kila kitu kitapita nawashangaaaaa sana askari WAKRIST tubuni na kuiamini Injili
 
Mimi sasa hivi hata mwanamke nakuuliza kwanza ww ni mrengo gani kabla ya affairs. Kama ni ccm tunaachana hapo hapo maana hawa wanawake ndo wanawapa kura na ndo mengi mashangingi ya CCM. Ukiwa pro ccm automatically unaunga mkono uhalifu wa polisi nchini ambao unapewa nguvu na hawa chichiem.
 
action and reaction are equal and opposite. that said brutality one day will change course. when, it is history that will tell.
 
You
Tanzania is slowly turning into a brutal Police state right in front of our own very eyes, yet we are doing nothing about it. Police brutality is slowly reaching unbearable limits as witnessed by us all day in and day out, yet we are all quiet about it. The audacity of the police force to beat and even murder innocent citizens of the republic is happening in every corner of our nation, yet there isn't a single voice being raised in condemnation. Not even our own school children have been spared from these blood thirsty members of the police force in their quest to instill fear and intimidation, yet we all pretend like nothing is happening and look the other way.

It is high time the world is told the truth about Tanzania, it is high time the whole world learns of Tanzania's state sponsored terrorism against its own very people. But who's to tell the world if not us, the very people who have been a witness to all this, yet have not had the courage to do anything about it. Yes, whether we like it or not, we have been a party to these horrendous crimes against us by the very people to whom we entrusted our hopes to keep us safe. I now call upon all peace loving members of our beloved JF to join forces and expose this power hungry and corrupt regime that will stop at nothing to hang on to power at our expense.

Let us gather all evidence especially pictures and let the whole world see for themselves what we are daily going through in this land of plenty yet one of the poorest in the region. Any Tom, Dick or Harry who happens to be a Kikwete appointee can at will order the police to beat, teargas, shoot and even kill anybody, anywhere, anytime and anyhow the usual excuse being "kulinda amani " Pictures, comrades, speak louder than words so bring them and if you cannot upload them please PM them to me ! I start with this one

normal_moro9.jpg

tz_pix.jpg

Kiongoz wa CDM alipokamatwa na Police​

benson-kigaiya-akiwa-chini-ya-ulinzi-wa-polisi-wa-ffu-5-huku-wengine-wakinyatia-kwa-pembeni-akiambulia-makofi-ya-mgongo-na-makalio.jpg

Police alipompiga Risasi msomaji Magazeti Morogoro​


Kifo+Moro.jpg

Update from Iringa 2/9/2012
IMG_1917.JPG





Who is policing the Tanzania Police Force?

ON January 5, this year, police shot dead at least two unarmed civilians and left a dozen others nursing gunshot wounds following street demonstrations organised by Tanzania's main opposition party, CHADEMA.

Apart from shooting to kill, riot police kicked, punched and repeatedly clubbed scores of demonstrators, including women, some of whom sustained head injuries and other horrid wounds.

Disturbing television footage and photographs from the Arusha demonstrations highlighted a police brutality of epic proportions.

There has been widespread public outrage following the incident, with calls for official resignations and a judicial inquiry.

A high-ranking police official has swiftly dismissed suggestions that police had overstepped their authority and sought to defend law enforcers for killing unarmed citizens.

Police followed their statement of defence with paid advertisements in local newspapers absolving themselves of any wrongdoing and pointing a finger of blame squarely at opposition figures for allegedly organising and leading a banned demonstration.

Disciplined police officers respect and follow established rules of engagement for crowd control whenever they are forced to contain riots or unlawful gatherings.

These include issuing verbal warnings for people to disperse and proceeding to contain the situation if the demonstrators do not heed the warnings.

The use of tear gas, water cannons and low velocity, rubber-coated bullets are some of the accepted methods employed by professional riot police across the world to control hostile crowds.

Police officers are required to use a reasonable amount of force in conflict situations and should never be allowed to brutally assault or kill unarmed civilians.

Live ammunition or live rounds may only be used as a last resort of self defence when police are being attacked by armed rioters, not against unarmed persons who present no credible threat to the police or other citizens.

The Arusha incident is not the first time that Tanzanian police have been accused of being trigger-happy. There is a long list of incidents over the years where civilians were killed by the police in the name of law enforcement.

While appreciating the difficult and important role of the police in maintaining law and order, we condemn heavy-handed tactics that raise cries of police brutality.

Police abuse has become so common in Tanzania to the extent that a well-known Kiswahili saying -- "Unauliza makofi polisi?" -- has been coined thanks to the notoriety of the police for slapping and physically assaulting suspects during arrest and/or detention.

The government must wake up to the blatant abuse of human rights and rule of law being perpetrated by the police and other members of the country's law enforcement agencies.

Tanzania has historically been hailed as a stable nation in an often unsettled region, hence shouldering the burden of sheltering refugees from its war-torn neighbours.

However, the country's fragile peace is being threatened by the same people entrusted with the task of protecting it.

Protesters who take part in a banned demonstration are presumed innocent until proven guilty in the courts of law, which have inherent powers to punish convicted offenders.

On the other hand, police must also avoid unleashing blunt state power on unarmed citizens and arbitrarily crushing their civil rights.

The government must decisively deal with a growing crisis of confidence in the Tanzania Police Force, whose members are seen in the eyes of many people as an armed group notorious for taking the law into their own hands and assaulting innocent people.

One way of doing that is by appointing an independent judicial inquiry into the Arusha killings to determine what really happened.

Opposition leaders and their supporters are supposed to abide by the law in exercising their civil liberties.

However, excessive violence and abuse of citizens by police officers is inexcusable.

Police brutality remains one of the most serious human rights violations in Tanzania, but has been largely ignored by the government.

Members of the Tanzania Police Force, from senior officers to the lower cadres, need to be retrained on effective crowd control, civil liberties, human rights and the rule of law.

The Home Affairs Ministry should also set up an Internal Affairs Unit responsible for investigating allegations of police brutality, complaints of police misconduct and violations of rules and regulations.

The killing of unarmed civilians in Arusha recently and other similar incidents previously suggest that some members of the police could be wantonly acting as the judge, jury and executioner.

We must stand up against tyranny in this country, whether perpetrated by civilians or men (and women) in uniform.

0.jpg


image995435x.jpg

Above Photos show Police in action with Citizen in Zanzibar
UPDATES FROM KINONDONI, DAR ES SALAAM - 16/02/2018:

Polisi wakiwatawanya Wananchi maeneo Kinondoni



While I completely discourage police brutality, it is unfortunately a worldwide phenomenon. My friend, you are speaking of gathering evidence for the world to see…to see what?...what is not seen!? Police brutality is happening in all countries, I wonder to whom do you want it seen!?…is it USA…or are u not informed of what is happening in America especially if police are dealing with black guys!?. No my friend, you are not going to achieve anything by gathering all the evidences! You would probably instead advocate for national-wide campaign to stand vs police brutality! However, citizens also they are obliged to comply with police legal instructions to avoid unnecessary turmoil!
 
Tanzania is slowly turning into a brutal Police state right in front of our own very eyes, yet we are doing nothing about it. Police brutality is slowly reaching unbearable limits as witnessed by us all day in and day out, yet we are all quiet about it. The audacity of the police force to beat and even murder innocent citizens of the republic is happening in every corner of our nation, yet there isn't a single voice being raised in condemnation. Not even our own school children have been spared from these blood thirsty members of the police force in their quest to instill fear and intimidation, yet we all pretend like nothing is happening and look the other way.

It is high time the world is told the truth about Tanzania, it is high time the whole world learns of Tanzania's state sponsored terrorism against its own very people. But who's to tell the world if not us, the very people who have been a witness to all this, yet have not had the courage to do anything about it. Yes, whether we like it or not, we have been a party to these horrendous crimes against us by the very people to whom we entrusted our hopes to keep us safe. I now call upon all peace loving members of our beloved JF to join forces and expose this power hungry and corrupt regime that will stop at nothing to hang on to power at our expense.

Let us gather all evidence especially pictures and let the whole world see for themselves what we are daily going through in this land of plenty yet one of the poorest in the region. Any Tom, Dick or Harry who happens to be a Kikwete appointee can at will order the police to beat, teargas, shoot and even kill anybody, anywhere, anytime and anyhow the usual excuse being "kulinda amani " Pictures, comrades, speak louder than words so bring them and if you cannot upload them please PM them to me ! I start with this one

normal_moro9.jpg

tz_pix.jpg

Kiongoz wa CDM alipokamatwa na Police​

benson-kigaiya-akiwa-chini-ya-ulinzi-wa-polisi-wa-ffu-5-huku-wengine-wakinyatia-kwa-pembeni-akiambulia-makofi-ya-mgongo-na-makalio.jpg

Police alipompiga Risasi msomaji Magazeti Morogoro​


Kifo+Moro.jpg

Update from Iringa 2/9/2012
IMG_1917.JPG





Who is policing the Tanzania Police Force?

ON January 5, this year, police shot dead at least two unarmed civilians and left a dozen others nursing gunshot wounds following street demonstrations organised by Tanzania's main opposition party, CHADEMA.

Apart from shooting to kill, riot police kicked, punched and repeatedly clubbed scores of demonstrators, including women, some of whom sustained head injuries and other horrid wounds.

Disturbing television footage and photographs from the Arusha demonstrations highlighted a police brutality of epic proportions.

There has been widespread public outrage following the incident, with calls for official resignations and a judicial inquiry.

A high-ranking police official has swiftly dismissed suggestions that police had overstepped their authority and sought to defend law enforcers for killing unarmed citizens.

Police followed their statement of defence with paid advertisements in local newspapers absolving themselves of any wrongdoing and pointing a finger of blame squarely at opposition figures for allegedly organising and leading a banned demonstration.

Disciplined police officers respect and follow established rules of engagement for crowd control whenever they are forced to contain riots or unlawful gatherings.

These include issuing verbal warnings for people to disperse and proceeding to contain the situation if the demonstrators do not heed the warnings.

The use of tear gas, water cannons and low velocity, rubber-coated bullets are some of the accepted methods employed by professional riot police across the world to control hostile crowds.

Police officers are required to use a reasonable amount of force in conflict situations and should never be allowed to brutally assault or kill unarmed civilians.

Live ammunition or live rounds may only be used as a last resort of self defence when police are being attacked by armed rioters, not against unarmed persons who present no credible threat to the police or other citizens.

The Arusha incident is not the first time that Tanzanian police have been accused of being trigger-happy. There is a long list of incidents over the years where civilians were killed by the police in the name of law enforcement.

While appreciating the difficult and important role of the police in maintaining law and order, we condemn heavy-handed tactics that raise cries of police brutality.

Police abuse has become so common in Tanzania to the extent that a well-known Kiswahili saying -- "Unauliza makofi polisi?" -- has been coined thanks to the notoriety of the police for slapping and physically assaulting suspects during arrest and/or detention.

The government must wake up to the blatant abuse of human rights and rule of law being perpetrated by the police and other members of the country's law enforcement agencies.

Tanzania has historically been hailed as a stable nation in an often unsettled region, hence shouldering the burden of sheltering refugees from its war-torn neighbours.

However, the country's fragile peace is being threatened by the same people entrusted with the task of protecting it.

Protesters who take part in a banned demonstration are presumed innocent until proven guilty in the courts of law, which have inherent powers to punish convicted offenders.

On the other hand, police must also avoid unleashing blunt state power on unarmed citizens and arbitrarily crushing their civil rights.

The government must decisively deal with a growing crisis of confidence in the Tanzania Police Force, whose members are seen in the eyes of many people as an armed group notorious for taking the law into their own hands and assaulting innocent people.

One way of doing that is by appointing an independent judicial inquiry into the Arusha killings to determine what really happened.

Opposition leaders and their supporters are supposed to abide by the law in exercising their civil liberties.

However, excessive violence and abuse of citizens by police officers is inexcusable.

Police brutality remains one of the most serious human rights violations in Tanzania, but has been largely ignored by the government.

Members of the Tanzania Police Force, from senior officers to the lower cadres, need to be retrained on effective crowd control, civil liberties, human rights and the rule of law.

The Home Affairs Ministry should also set up an Internal Affairs Unit responsible for investigating allegations of police brutality, complaints of police misconduct and violations of rules and regulations.

The killing of unarmed civilians in Arusha recently and other similar incidents previously suggest that some members of the police could be wantonly acting as the judge, jury and executioner.

We must stand up against tyranny in this country, whether perpetrated by civilians or men (and women) in uniform.

0.jpg


image995435x.jpg

Above Photos show Police in action with Citizen in Zanzibar
UPDATES FROM KINONDONI, DAR ES SALAAM - 16/02/2018:

Polisi wakiwatawanya Wananchi maeneo Kinondoni

duh
 
You



While I completely discourage police brutality, it is unfortunately a worldwide phenomenon. My friend, you are speaking of gathering evidence for the world to see…to see what?...what is not seen!? Police brutality is happening in all countries, I wonder to whom do you want it seen!?…is it USA…or are u not informed of what is happening in America especially if police are dealing with black guys!?. No my friend, you are not going to achieve anything by gathering all the evidences! You would probably instead advocate for national-wide campaign to stand vs police brutality! However, citizens also they are obliged to comply with police legal instructions to avoid unnecessary turmoil!
Of course sycophants like you will say or do anything to give excuses for this uncouth and evil regime, that what idiots do believing they are somewhat safe, for now. Contrary to what you insinuate about police brutality worldwide ours is state-sponsored police brutality witnessed mostly in similar fascist regimes. In the US any action that results in injury or loss of life investigation is immediately begun and if there is any wrong-doing, action is taken and culprits punished.
 
Na
EDO KUMWEMBE

SIKU Fulani ya maisha yako. Hakutakuwa na wale walinzi kando yako. Hakutakuwa na rafiki zako kando yako. Hakutakuwa na wale washkaji zako wa mtaani kwako. Hakutakuwa na wale wapambe wako kando yako. Hata kama watakuwepo hautawaona.
Pua zako zitakuwa zimewekwa pamba ndani ya jeneza. Foleni ya watu itakuwa ikikuaga. Hautakuwa na fahamu. Ina maana atakayeshika kifua chako hatasikia mapigo yoyote. Hautajua kama anayekuaga ni rafiki yako au adui yako. Mama yako na dada zako kando ya jeneza watakuwa wakilia wakiliwazwa na rafiki zako, ndugu na jamaa zako.
Kaka zako watakuwa bize sana kuhakikisha watu wote walio msibani wanapata mahitaji yao. Mmoja atakuwa anahakikisha kila mtu amekula. Mwingine atakuwa akifarijiwa na rafiki zako wa karibu. Mwingine atakuwa kaburini kuhakikisha kaburi lako limechimbwa vema. Mwingine atakuwa anaongea na sheikh au askofu kuhusu mpangilio mzima wa mazishi.
Kama una cheo kikubwa sana basi wakubwa waliobaki watakuwa wanapiga saluti mbele ya jeneza lako. Hata hivyo haitasaidia sana. Haitakurudishia pumzi. Kama ulikuwa mwanamuziki mahiri sana, bado haitakurudishia pumzi. Alikufa Michael Jackson na bado hajarudishwa.
Kama ulikuwa kiongozi maarufu bado haitasaidia. Alikufa Mwalimu Nyerere na bado hajarudishwa. Alikufa Nelson Mandela, alikufa Martin Luther King, alikufa JF Kennedy. Wote hawa hawajarudi tena. Kila siku tunapita kando ya makaburi yao na kuishia kusema “Walikuwa mashujaa”. Lakini mbona hawanyanyuki chini ya udongo na kusimama?. Kumbe hawakuwahi kuwa wakubwa kuliko wewe.
Kuna mkubwa mmoja tu ambaye hapigiwi saluti lakini anabakia kuwa mkubwa. Anaitwa Mungu. Kwanini uringa sana hapa duniani? Ni swali linaloendelea kushangaza sana. Wakati mwingine maisha yanashangaza sana. Sana. Sana. Kuliko tunavyofikiri.
Wakati tukikaribia kukuaga, mtu ambaye ataendelea kuheshimika kwa muda tu, ndani ya siku hiyo, atakuwa MC wa shughuli hiyo. Hautaweza kumpinga. Yeye ndiye ambaye atatuambia muda gani ‘utabebwa’ kwenda eneo moja kwenda jingine. Yeye ndiye ambaye atatuambia muda wa maziko, muda wa kula, muda wa kwenda makaburini. Yeye ndiye ambaye kwa mbwembwe atatuambia matanga au Arobaini yatakuwa lini.
Leo utakuwa na mbwembwe nyingi katika kundi la mashabiki wa muziki wako wanaokuhusudu. Leo utakuwa na mbwembwe nyingi kwa walinzi wanaokulinda na silaha. Leo utakuwa katika baa Fulani ya sehemu Fulani ukitoa kila amri ambayo wanyonge wanatekeleza bila ya kuguna. Unalipa bili unaondoka. Lakini duniani kuna mkubwa mmoja tu.
Wakati mwingine unajidanganya kuwa unachofanya ni sahihi. Lakini mbona hautaki kusikiliza mawazo tofauti Edo? Ni kwa sababu ya maisha ya kidunia ambayo wakati mwingine huwa tunadhani ni marefu sana. Wakati mwingine huwa tunadhania kwamba tulizaliwa kabla ya Mlima Kilimanjaro.
Kama ungepewa pumzi ya kutafakari wakati tukikupeleka futi sita chini ya ardhi ndipo utakapogundua kuwa kuna vitu vilikuwa vikubwa kuliko wewe. Ndipo utakapogundua kuwa ile bahari ya Indi pale Coco Beach na kwinginepo ilikuwepo kabla ya wewe.
Tenda mema kadri unavyoweza. Hili sio suala la dini wala kabila wala rangi. Kuna sehemu mwanadamu unakosea sana lakini kiburi cha pumzi za muda ndicho ambacho kinatusumbua kwa sasa. Mwisho wa siku pumzi zikiisha tutaondoka makaburini kurudi nyumbani kwako na kuanza kuongelea maisha mengine ya duniani.
Nyakati hizo wengi tutajikumbusha kimoyomoyo kwamba kuna mkubwa mmoja tu ambaye anapaswa kututia hofu na sio wewe ambaye dakika chache zilizopita tulikuwa tumetoka kuweka mikono ya sala kando ya kaburi lako na kurudi nyumbani kwako kuondoa tarubai angali ukiwa haupo.
Hapa namzungumzia kila mtu mwenye madaraka makubwa na madogo, umaarufu, au pesa au hulka ya kujisikia kuliko wengine. Binafsi nilizaliwa nikiwa uchi juu ya kitanda fulani cha hospitali ya Ocean Road kuelekea mwishoni mwa miaka ya 1970. Siku nikipoteza pumzi watakaonizika wanaweza kuamua nizikwe nikiwa uchi. Maringo ya nini?
Ni nyakati tata katika nchi yetu. Katika ngazi ya mtu binafsi au taasisi zetu au serikali Kuu. Kuna sehemu tunakosea sana kwa kujiamini kupita kiasi. Maringo ya mwanadamu yanazidi kupitiliza. Inakera sana. Wengi wanafunga mdomo. Wengi wana hofu. Nilikuwa nawakumbusha tu, kuna mkubwa mmoja tu. MUNGU.
Usijivunie kuwa bosi wa Chadema. Usijivunie kuwa na sauti kubwa kwa Waislamu au Wakristo. Usijivunie kuwa bosi wa CCM. Usijivunie kuwa kiongozi mkubwa. Usijivunie kuwa tajiri wa mtaani kwako. Kuna sehemu moja unakosea sana.
Mwanamuziki Sunday Mjeda ‘Linex’ aliwahi kulalamika katika wimbo wa “Moyo wa Subira’ akitamani kurudisha nyakati nyuma arekebishe ubaya aliowahi kuufanya. Uzuri kwa Mungu, au ubaya kwetu, ni kwamba wakati watu wakitawanyika katika misiba yetu hatutaweza kurudisha nyakati nyuma. Ni nyakati hizo ndipo tutajua kwamba kuna mwanaume mmoja tu. MUNGU.
Walionielewa vizuri nadhani watakuwa wamenielewa vizuri sana, hasa kwa kila kitu kinachoendelea katika nchi yetu kwa sasa. Life goes on. Kuna Mungu mmoja tu. Na kuna mimi mmoja tu. Edo kumwembe. Na kuna wewe mmoja tu, unayesoma Makala hii. TUTAFAKARI.
 
Back
Top Bottom