Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know!

Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know!

SERIOUSLY!! HOW COME!! NO wonder wananchi wamemuua MABINA KWA mawe.....na yataendelea sana nchi hii.
 
haya mambo ya kawaida kwa serikali yeyote, ninachoshangaa serikali yetu imeshindwa vipi kufanya usiri wa shughuli hii mpaka imevuja kwa wanaichi au ndio tunapungukiwa utaalam na vitendea kazi?

eneo la shughuli kunatakiwa kusiwe na aina yeyote na network ya kiraia kwa ajili ya mawasiliano angalau siku moja kabla ya shughuli kisha vijana wanaingia usiku wa manane kwa kushtukiza na kufanya kazi yao kwa ustadi wa hali ya juu sana.

Hii video haikutakiwa kufika hapa maana kwa mwanaichi wa kawaida ni vigumu kumuelezea hili suala akaelewa ndio maana hata kunakuwa na pande mbili za kupinga na kukubali ila huwezi pata suluhu na kusonga mbele bila kufunga mkanda na kujikaza kiume.

Vijana wametekeleza oda ya mkuu wao wa kazi hawana kosa lolote, uzembe mdogo waweza kua umejitokeza kwa waandaaji wa shughuli ndio maana wanasiasa wametumia mwanya japo walishaapa kuilinda na kuitetea katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mwisho natoa pole kwa waliokumbwa na hii operesheni kimakosa.

**Ni mtazamo wangu tu, si kwa nia mbaya wakuu.
 
Tulipoanza kupeleka JWTZ kwenye maandamano ya Waislamu mimi nilijua serikali imeanza kuviabuse vyombo vya usalama
 
Kinachoonekana hapa kwenye hii clip ndogo ni wazi hata walioondoka kwenye nyadhifa ni wachache sana maana tunaona Bungeni ikiwa WAZIRI hayupo basi mwenzie humjibia maswali ilitakiwa wote wajiuzuru nafasi zao haraka.



Wote wameoza na kupungukiwa utukufu wa Mungu.
 
Sasa kichura na viboko si mambo ya kawaida huko jeshini. Kwao ni sehemu ya mafunzo ya ukakamavu na uvumilivu.

Kiongozi wa N.korea kamua mjomba wake na watu wanaomuunga mkono kwa kutumia antiaircraft machine gun hapo watu wa haki za binadamu mnasemaje?

Na ubakaji ni sehemu ya mafunzo ya ukakamavu? Kupiga risasi watu wasio na hatia? Au mpaka baba yako aambiwe kufanya mapenzi na mti au abakwe mama yako mbele yako ndiyo uwe na uchungu?!!!! natamani nikutukane matusi ya nguoni lakini nahofia ban tu *%&^4FFF$#@@*^,...SHAME ON YOU!
 
haya mambo ya kawaida kwa serikali yeyote, ninachoshangaa serikali yetu imeshindwa vipi kufanya usiri wa shughuli hii mpaka imevuja kwa wanaichi au ndio tunapungukiwa utaalam na vitendea kazi?

eneo la shughuli kunatakiwa kusiwe na aina yeyote na network ya kiraia kwa ajili ya mawasiliano angalau siku moja kabla ya shughuli kisha vijana wanaingia usiku wa manane kwa kushtukiza na kufanya kazi yao kwa ustadi wa hali ya juu sana.

Hii video haikutakiwa kufika hapa maana kwa mwanaichi wa kawaida ni vigumu kumuelezea hili suala akaelewa ndio maana hata kunakuwa na pande mbili za kupinga na kukubali ila huwezi pata suluhu na kusonga mbele bila kufunga mkanda na kujikaza kiume.

Vijana wametekeleza oda ya mkuu wao wa kazi hawana kosa lolote, uzembe mdogo waweza kua umejitokeza kwa waandaaji wa shughuli ndio maana wanasiasa wametumia mwanya japo walishaapa kuilinda na kuitetea katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mwisho natoa pole kwa waliokumbwa na hii operesheni kimakosa.

**Ni mtazamo wangu tu, si kwa nia mbaya wakuu.

Unaidhalilisha hiyo signature unayotumia, IONDOE TU KAKA!:spit:
 
Bring in one more Video iyo ya bakora na kichura chura to me sioni issue.
Hawa jamaa wakati wanaenda tekeleza ilo zoezi hwakupewa TERMS OF REFFERENCE ( HADIDU ZA REJEA )
 
hii video nilikuwa nayo kabla ya operation tokomeza ni ya mtwara kwenye inshu ya gesi na sio operation tokomeza
 
Sasa kichura na viboko si mambo ya kawaida huko jeshini. Kwao ni sehemu ya mafunzo ya ukakamavu na uvumilivu.

Kiongozi wa N.korea kamua mjomba wake na watu wanaomuunga mkono kwa kutumia antiaircraft machine gun hapo watu wa haki za binadamu mnasemaje?
Acha kuropoka hao waliokuwa wanapigwa ni wanajeshi?okay hata kama kilichoonyeshwa kwenye video hii ni cha kawaida sana kwa wanajeshi je misumari ya nchi sita matakoni,je vipi chupa sehemu za siri za wanawake,je kuu-do mti mpaka umalize haja zako kwa mwanamme tena mbele ya familia yako?
Ni ujinga wa hali ya juu kutetea upumbavu.usijifanye unalijua sana jeshi kushinda wote humu JF.wapo watu wanalijua lkn hawaungi mkono mateso hayo kwa raia.
siku nyingine usirudie tena
 
Hiiii k2 imepotoshwasn hv nan anaweza kufanya mapenz na mti mpaka amalize haja zake? Siasa mbaya sn Tukiwacka sn hawa hata popo watajangiliwa
 
Alaaniwe Jk wa pili, lilaaniwe Jwtz, walaaniwe Pinda na woote waliohusika kuwatesa watanzania wenzao.
Tumepiga kelele na tunapiga kelele siku zote kwamba Ccm haifai tena kuongoza taifa hili lakini bado wamekuwepo wananchi waliopumbazika akili zao na kuendelea kuunga mkono Ccm chama cha kidhalimu.

Tunachotakiwa kujua waTanzania ni kwamba Ccm haiwezi kuja kumletea maisha bora tena watanzania na zaidi kwa vile wamejihakikishia watanzania mazuzu bado wako wengi ndio wameamua kama hivi kutuua kwa maana wanajua kuwa wanatuua na bado mazuzu yataunga mkono serikali yao tu kama ilivyojionyesha katika baadhi ya wachangiaji wa thread hii!

Mazuzu yapo sana na tunaendelea kuomba kwa mwenyezi Mungu ayarudishie akili zao Mazuzu yote yasiyoona kwamba yanaishi kimaskini na taabu kwa kusababishwa na serikali hii ya Ccm.

kama umefanikiwa kupata maendeleo kidogo basi jua tu kuwa isingekuwa Ccm ungefanikiwa zaidi ya hapo ulipo sasa! wacha watuue sana ili Mazuzu akili zirudi waanze kujua kuwa hawapaswi kuipenda serikali ya Ccm chini ya mtawala yeyote yule!
 
Washitakiwe na kesi zao ziendeshwe kwa mda malumu ili wafungwe mapema kabla watu hawajapona
 
Back
Top Bottom