Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 790
Kujificha nyuma ya keyboard kusikufanye ukose ubinadamu. Utajificha kwetu lakni si kwa Mungu
Nauliza umeona m2 aliyeuwawa kwenye hii video which is the subject of this thread au umekuwa mganga wa kienyeji... think with brain and with stomach!
Sio kwamba naunga mkono wa2 kuteshwa i'm trying not into the same trap wabunge wetu waliyoingia wakashindwa hata kutoka na objective recommendations.