Police General Orders(PGO) ni nini, nitaipata wapi?

Police General Orders(PGO) ni nini, nitaipata wapi?

Yanayoendelea mahakamani ni ushahidi kwamba kwa Tanzania polisi ni kibaka aliekabidhiwa sare na kudhaminiwa na utawala
 
Two things needs to happen.
1. Our Police force should be left to operate independent of all sorts of political interests.
2. Communication and assignment of responsibilities and orders within the force should be regulated by the famous PGO,
to avoid the abuse of power by senior officers.
Waachane na POLICE FORCE waende kwenye POLICE SERVICE...
 
Garbage in and Garbage out ni maneno yasiyo na busara na yanakera sana lakini Kilichotokea kwenye kesi ya Freeman Mbowe Mahakamani kuna mambo ya kujifunza kwa Police wetu na mawakili wa Serikali

Ukiingiza au kujifunza kitu kichafu toka kwa waliokutangulia au viongozi wako yaani (Garbage in) ni ngumu kutoa kitu safi lazima utatoa kitu kichafu kama ulivyojifunza au kuona kwa wakubwa zako yaani (Garbage out)

Je? Police Tanzania Wanafundishwa sheria na mipaka ya kazi zao kutoka kwenye PGO

Kama wanajifunza kwanini wanashindwa kujibu maswali ya mawakili mahakamani?

Police General Orders are mandatory to police officers, Any non compliance police officers should be liable for disciplinary action

Any police order from Headquarters should not be inconsistent with the PGOs

Commander means a police officer of any Rank at the time being in charge of any body of police

Sub unit commander is any inspector or senior inspector or SSGT

Hakuna kazi yeyote isiyokuwa na manuals or orders

Kazi zote zinaongozwa na Sera, Sheria na Maadili ya kazi

Uwe Unafanya kazi TRA, BoT, Commercial Banks, Wizarani iwe wizara ya Fedha, Kilimo au biashara kila mfanyakazi ana wajibu wa kujua sheria zinazomuongoza

Kesi ya Freeman Mbowe imeonyesha police hawajui manual yao au sera zao zinazowaongoza

Police hawajui taratibu za kumkamata mtu, Muda wa kumuhoji, Aina ya makosa ya mtuhumiwa, Haki za mtuhumiwa na hata haki zao hawajui toka kwenye PGOs

Ni muda muafaka wa kuunda Jeshi la polisi lenye uelewa mpana wa mambo yao hasa sheria kanuni na taratibu

Maswali ya PGO, Polisi anachanganyikiwa kabisa na kujibu sifahamu mara lakini..... Lakini nini?
Kigezo cha polisi Tanzania kuajiriwa ni kuwa na Div 4 ya form4. Hawataki 1 wala 2 wala 3 ni four tu.
 
PGO,GPO,au OPG... Maana huku mtaani ni sarakasi tupu. Hizo herufi zinachangnywa mno. Ila polisi wetu nawahurumia, wao wanfunzwa namna ya kuonea raia,hasa walio kinyume na mawazo ya serikali. Sheria za polisi ni za kikoloni...
kibatala: ieleze mahakama,PGO inayotumika ni toleo la mwaka gani
Shahidi:sijui
 
PGO ina kanuni ambazo zinatakiwa Manjagu wetu wazimeze na kuzielewa na ndio muongozo wa kazi yao kila siku wanapokua kituo cha kazi au kuondoka na mtuhumiwa kama zilivyo sheria za kodi tatizo hiyo PGO ipo kwa kidhungu ndio maana wakina kibatala wanatamba kama Gaucho uwanjani...na hiyo PGO huwezi kusoma leo uamke kesho unaijua ukajibu maswali ya Mawakili watata..
 
Huu msemo umeungia sana, kila ninapopita nakutana na watu wakiyatumia maneno hayo.

Hata wasipo yatumia kwa mpangilio huo, neno GPO halikosekani.

Hiyo GPO ni nini haswa, na kwani ipate umaarufu majira na nyakati hizi?
Buji naomba nipe pgo yako nimsomee
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Back
Top Bottom