Polisi Arusha watimua Askari watatu kwa utovu wa nidhamu

Hao askari tumewaondoa katika Jeshi letu na tutaendelea kufuatilia na wengine watakaoshindwa kufanya kazi kwa uadilifu, kulingana na kiapo walichokikubali wakati wanajiunga na Jeshi hilo,”[emoji1752]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…