Polisi Dodoma wawakamata na kuzuia mkutano wa Waandishi wa Habari na Mwenyekiti wa CHADEMA - Mbowe

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2012
Posts
4,572
Reaction score
26,885
Muda huu hapa ofisi ya Chadema kamda ya kati Dodoma... polisi wamezuia viongozi wote wa Chadema na kufunga ofisi yetu...

Hii yote ni kuhofia press conference ya Mwenyekiti tu.

Jana nilikua naangalia documentary ya Mobutu Seseseko. Tuko kwenye kipindi kibaya sana. John Heche on Twitter



 
Mungu wa yakobo Mungu wa Isaka na Mungu wa Ibrahimu anaweza kuruhusu haya yanayotokea Dodoma?

Mbona tumetangaziwa siku za maombi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa watu wametutangazia wako kwenye maombi
Swali mbona matendo yao hayaendani na maombi kwa Mungu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…