Huyu mbowe anaepewa ruzuku na serikali anaidharau,anasumbua serikli inayoweka miundombinu ili wananchi wanufaike,hajui waziri mkuu ndo mtendaji mkuu wa shughuli za serikali,hajui ndio yenye dhamana kwa wananchi kiuchumi kisiasa kijamii,Bila serikali mbowe angekuwa mkt wa chadema,ajifunze kuheshmu mamlaka,serikali inapoongea Ni sawa na baba katika nyumba akiongea wote mnasikiliza,hata shuleni hivo hivo mwl akiwa anafundisha mnakaa kimya mwelewe Sabu ndio mwenye dhamana,Mbowe jifunze kuheshimu mamlaka,nakuheshimu ila Leo hapana Corona sio siasa watu wnataka fungu la kumi lako umenunulia wananchi sanitizer ngapi,barakoa ngapi,niliwahi kuandika Siasa za Awamu hii Ni za vitendo sio porojo,mmeona jpm katulia chatto mkajua kaenda kulala noooo the man is the hard worker halali kwa ajili ya wtz Bora hata wewe unaenda club kupiga denda malaya