Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #21
Since 1995 Kuna mapolisi wa kuwapigia simu nikizingua kitaa, na wananichomoaHao siyo Mapolice ni wahalifu wenzenu walioko ndani ya Jeshi la Police! Sema huwa hawana muda mrefu sana ndani ya Jeshi,huwa system inawatema mmoja baada ya mwingine!!