Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
-
- #21
Since 1995 Kuna mapolisi wa kuwapigia simu nikizingua kitaa, na wananichomoaHao siyo Mapolice ni wahalifu wenzenu walioko ndani ya Jeshi la Police! Sema huwa hawana muda mrefu sana ndani ya Jeshi,huwa system inawatema mmoja baada ya mwingine!!
Mkuu tupo kwenye maombolezo aisee.Barabara ya kwao! We mtanzania wa wapi? Au umepewa utanzania na Simbachawene!
Kama wwe kweli ni muhalifu,kwa Nini wakulinde!? Kazi ya Police si kulinda wahalifu,ni kukamata wahalifu ili wapelekwe Mahakamani!! Subiri siku ukikamatwa na police wa ukweli,siku hiyo ndiyo utajua kua Jeshi la Police ni zaidi ya ulijuwavyo kwa ukubwa wake!!Since 1995 Kuna mapolisi wa kuwapigia simu nikizingua kitaa, na wananichomoa
Dah hawa wanyama aisee, yaani wanaforce mamboNi wababe sana na hawana utu. Nilipigwa cheti eti sababu gari imepauka kwenye bonet, sh 30'000/-
Mwisho ikawaje baada ya kupita nao? Kuna mda mwingine ni bora kutumia akili kuliko bangi.Huku chuga kuna Dogo aliwanyoosha,walimfungia barabara kwa kutumia l/Cruiser yao Dogo akawanyooshea akapita nao.
Mwisho ikawaje baada ya kupita nao? Kuna mda mwingine ni bora kutumia akili kuliko bangi.
Mwisho wake?polisi waliumia vibaya sana.Mwisho ikawaje baada ya kupita nao? Kuna mda mwingine ni bora kutumia akili kuliko bangi.
Alikamatwa na aliachiwa baada ya muda.Itakua alienda Kenya,maana huo ni bonge la msala
Unavuta?Since 1995 Kuna mapolisi wa kuwapigia simu nikizingua kitaa, na wananichomoa