Polisi inawakamata Waratibu wa LBL lakini Watu wanaendelea kupigwa hela kwenye mfumo huohuo

Polisi inawakamata Waratibu wa LBL lakini Watu wanaendelea kupigwa hela kwenye mfumo huohuo

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Licha ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa tangazo linaloeleza kuwa haihusiki na jambo lolote linalohusu Kampuni inayoitwa Leo Beneath London (LBL) ambayo inavyoonekana kilio chetu ni cha Watu wengi, lakini nimeamua kuandika hapa kwa kuwa najua kuna wenzetu ambao wana msongo wa mawazo wanaendelea kama mimi wanaendelea kupigwa.

Ipo hivi wale ambao tulikuwa Wanachama, kila tukiingia kwenye mfumo huo kwa nia ya kuangalia nini kinaendelea, tunakutana na jumbe mbalimbali, mojawapo ni kuwa inatutaka kulipia hadi Tsh. 270,000 ili kuweza kuingia katika Akaunti husika na kufanya mchakato wa kunasua fedha zetu zilizokwama ndani.
LBL.jpg
Nafikisha ujumbe huu kupitia JamiiForums naamini ujumbe huu utafika sehemu nyingi kwa kuwa mimi siwezi kuwafikia BoT.

Ukifungua kwenye akaunti yako ya LBL kuna ujumbe ambao unakuja ukikuelekeza kulipa kulingana na kiwango cha fedha ambacho ulilipia wakati unajiunga.

Mfano levo ya P3 kiwango cha kujiunga ni Tsh. 540,000 hivyo unatakiwa kulipia nusu ya kiasi hicho ambacho ni 270,000 ili wakuwezeshe kufungua akaunti yako na uweze kutoa fedha zako zote zilizosalia kwenye Wallet uhamishe katika mitandao ya simu.

Kinachofanyika ni kuwa hasara inaongezeka kwa Watu kuendelea kuliwa zaidi licha ya juhudi nzuri za Serikali na Jeshi la Polisi linawakamata Watu.
WhatsApp Image 2025-02-25 at 11.10.20_a9e9524b.jpg

Pia soma:
~
Jeshi la Polisi Morogoro lawakamata maofisa saba wa LBL kwa tuhuma za biashara haramu ya fedha

~ Benki Kuu (BoT): Hatujatoa leseni wala kuruhusu shughuli za LBL
 
Licha ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa tangazo linaloeleza kuwa haihusiki na jambo lolote linalohusu Kampuni inayoitwa Leo Beneath London (LBL) ambayo inavyoonekana kilio chetu ni cha Watu wengi, lakini nimeamua kuandika hapa kwa kuwa najua kuna wenzetu ambao wana msongo wa mawazo wanaendelea kama mimi wanaendelea kupigwa.

Ipo hivi wale ambao tulikuwa Wanachama, kila tukiingia kwenye mfumo huo kwa nia ya kuangalia nini kinaendelea, tunakutana na jumbe mbalimbali, mojawapo ni kuwa inatutaka kulipia hadi Tsh. 270,000 ili kuweza kuingia katika Akaunti husika na kufanya mchakato wa kunasua fedha zetu zilizokwama ndani.
Nafikisha ujumbe huu kupitia JamiiForums naamini ujumbe huu utafika sehemu nyingi kwa kuwa mimi siwezi kuwafikia BoT.

Ukifungua kwenye akaunti yako ya LBL kuna ujumbe ambao unakuja ukikuelekeza kulipa kulingana na kiwango cha fedha ambacho ulilipia wakati unajiunga.

Mfano levo ya P3 kiwango cha kujiunga ni Tsh. 540,000 hivyo unatakiwa kulipia nusu ya kiasi hicho ambacho ni 270,000 ili wakuwezeshe kufungua akaunti yako na uweze kutoa fedha zako zote zilizosalia kwenye Wallet uhamishe katika mitandao ya simu.

Kinachofanyika ni kuwa hasara inaongezeka kwa Watu kuendelea kuliwa zaidi licha ya juhudi nzuri za Serikali na Jeshi la Polisi linawakamata Watu.

Pia soma:
~
Jeshi la Polisi Morogoro lawakamata maofisa saba wa LBL kwa tuhuma za biashara haramu ya fedha

~ Benki Kuu (BoT): Hatujatoa leseni wala kuruhusu shughuli za LBL
Usitupigie kelele mjinga wewe
 
Hamuwezi kuwakamata jamaa server zao ziko location tofauti ,michezo yao kila siku ni hiyo hiyo kwani nyie hamkusoma.?

Tanashukuru jeshi la polisi kuwabana hao wezi ,nikipata muda niandika uzi humu mpaka baadhi ya wanaojifanya wanapiga dili hizo mpaka kushirikiana na wahuni kutoka nje ya nchi...Wengi ni matajirj kama hapo kashaondokw mil 150 na kitu kwa kuwaingia watanzania wenzie mkenge.

Wanachapisha kila kitu feki hata hiko cheti cha brela kinaweza kutengenezwa kwa adobe .
 
Licha ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa tangazo linaloeleza kuwa haihusiki na jambo lolote linalohusu Kampuni inayoitwa Leo Beneath London (LBL) ambayo inavyoonekana kilio chetu ni cha Watu wengi, lakini nimeamua kuandika hapa kwa kuwa najua kuna wenzetu ambao wana msongo wa mawazo wanaendelea kama mimi wanaendelea kupigwa.

Ipo hivi wale ambao tulikuwa Wanachama, kila tukiingia kwenye mfumo huo kwa nia ya kuangalia nini kinaendelea, tunakutana na jumbe mbalimbali, mojawapo ni kuwa inatutaka kulipia hadi Tsh. 270,000 ili kuweza kuingia katika Akaunti husika na kufanya mchakato wa kunasua fedha zetu zilizokwama ndani.
Nafikisha ujumbe huu kupitia JamiiForums naamini ujumbe huu utafika sehemu nyingi kwa kuwa mimi siwezi kuwafikia BoT.

Ukifungua kwenye akaunti yako ya LBL kuna ujumbe ambao unakuja ukikuelekeza kulipa kulingana na kiwango cha fedha ambacho ulilipia wakati unajiunga.

Mfano levo ya P3 kiwango cha kujiunga ni Tsh. 540,000 hivyo unatakiwa kulipia nusu ya kiasi hicho ambacho ni 270,000 ili wakuwezeshe kufungua akaunti yako na uweze kutoa fedha zako zote zilizosalia kwenye Wallet uhamishe katika mitandao ya simu.

Kinachofanyika ni kuwa hasara inaongezeka kwa Watu kuendelea kuliwa zaidi licha ya juhudi nzuri za Serikali na Jeshi la Polisi linawakamata Watu.

Pia soma:
~
Jeshi la Polisi Morogoro lawakamata maofisa saba wa LBL kwa tuhuma za biashara haramu ya fedha

~ Benki Kuu (BoT): Hatujatoa leseni wala kuruhusu shughuli za LBL

Usijiroge ukalipia ili kuingia kwenye akaunti yako, mfumo unaruhusu kuweka na sio kutoa pesa. Utalia mara mbili
 
Huko huweki pesa kubwa kwa kuanzia, ukishakula pesa zao na wewe unaweka kati ya zile faida ulizopata.

Nilikua nashangaa sana mtu anatia mpaka 1M akitegemea kuvuna zaidi, hiyo michezo ni kutia kiasi kidogo. Unavuna then unaendelea kucheza kwa faida uliyoipata huko na sio utie mtaji mkubwa kwa likitu la muda mrefu ambalo siku si nyungi linakufa.

LBL imeliza wengi, wafanyakazi wengi walitia hizo 540k.

Tamaa bila mipango tegemea kilio, wanyabi wa hizi mbanga hatunaga hasara.
 
Naogopa kusema!
Halafu mbaya zaidi hawajawahi kutoa pesa hata siku moja, eti walishauriana waziache ziwe nyingi wakija kutoa watoe mamilioni🤣
We mwanamke vip ? Juz ulisema you are taken, so unabwana ako atakutetea, waseme ili watu wajifunze, hawa watu tumeanza kuwaambia kuhusu ponzi kabla haijafika hata 2020 ila wagumu kuelewa ile mbaya. Wataje bwanako atakutetea.
 
Kuna story nikihadithia mtacheka sana!
Kuna kanisa la walokole wamepigwa kuanzia mchungaji hadi waumini.
Walitangaziwa kanisani🤣
Binafsi sisi tuna group letu la graduate tulio soma nao tangia mwezi wa kumi na moja Kama sikosei mwaka Jana...wakajiunga kwa 540k na sio Siri dada yeye kavuna zaidi ya 3m

So sisi wengine ni wagumu Sana kuingia kwenye izo ponze scheme maana kipindi Cha KALINDYA pia nilipata ushawishi mkubwa Ila Mimi nilikataa na haikupita muda watu wakaumia..

Mimi sio muumini wa hizi mambo Ila mfano ukiwa mjanja ukajiunga mapema unanufaika Ila Mimi siwezi cheza Wala kujiunga na vitu Kama hivi Bora nikalime Mananasi ikwiriri huko rufiji..
 
Naogopa kusema!
Halafu mbaya zaidi hawajawahi kutoa pesa hata siku moja, eti walishauriana waziache ziwe nyingi wakija kutoa watoe mamilioni🤣
Tamaa tamaa tamaa, uache pesa ziwe nyingi na hujui ziko wapi.

Na ubaya wa hii michezo, kuna watu kwenye magroup yao hujionesha wametia pesa ndefu mno, na wanawashawishi mtie kibunda lakini ukweli ni kua wale wengi wao ni wao wenyewe.
 
Huko huweki pesa kubwa kwa kuanzia, ukishakula pesa zao na wewe unaweka kati ya zile faida ulizopata.

Nilikua nashangaa sana mtu anatia mpaka 1M akitegemea kuvuna zaidi, hiyo michezo ni kutia kiasi kidogo. Unavuna then unaendelea kucheza kwa faida uliyoipata huko na sio utie mtaji mkubwa kwa likitu la muda mrefu ambalo siku si nyungi linakufa.

LBL imeliza wengi, wafanyakazi wengi walitia hizo 540k.

Tamaa bila mipango tegemea kilio, wanyabi wa hizi mbanga hatunaga hasara.
Ukijiunga nyingine ututaarifu na sisi tujiunge mapema.
 
Back
Top Bottom