Polisi inawakamata Waratibu wa LBL lakini Watu wanaendelea kupigwa hela kwenye mfumo huohuo

Polisi inawakamata Waratibu wa LBL lakini Watu wanaendelea kupigwa hela kwenye mfumo huohuo

We mwanamke vip ? Juz ulisema you are taken, so unabwana ako atakutetea, waseme ili watu wajifunze, hawa watu tumeanza kuwaambia kuhusu ponzi kabla haijafika hata 2020 ila wagumu kuelewa ile mbaya. Wataje bwanako atakutetea.
Hatuna mwanasheria!
Naweza nikataja kumbe mmojawapo yupo humu, akaanza kunifukua mpaka anijue,, naogopa kujulikana,😂

Mimi nawacheka tyu, kuna ndugu yangu yeye ana elimu na exposure kubwa anasali hapo kanisani, nikamwambia kwanini hukuwatonya kua wanaibiwa?

Akanijibu aliwaambia ila wakawa wabishi isitoshe mtu mmoja huwezi kupambana mawazo na watu wengi so akawaacha
Basi wakati anawakataza kujiunga walikua wanamuona kama pepo vile eti anashindana na mchungaji🤣
 
Licha ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa tangazo linaloeleza kuwa haihusiki na jambo lolote linalohusu Kampuni inayoitwa Leo Beneath London (LBL) ambayo inavyoonekana kilio chetu ni cha Watu wengi, lakini nimeamua kuandika hapa kwa kuwa najua kuna wenzetu ambao wana msongo wa mawazo wanaendelea kama mimi wanaendelea kupigwa.

Ipo hivi wale ambao tulikuwa Wanachama, kila tukiingia kwenye mfumo huo kwa nia ya kuangalia nini kinaendelea, tunakutana na jumbe mbalimbali, mojawapo ni kuwa inatutaka kulipia hadi Tsh. 270,000 ili kuweza kuingia katika Akaunti husika na kufanya mchakato wa kunasua fedha zetu zilizokwama ndani.
Nafikisha ujumbe huu kupitia JamiiForums naamini ujumbe huu utafika sehemu nyingi kwa kuwa mimi siwezi kuwafikia BoT.

Ukifungua kwenye akaunti yako ya LBL kuna ujumbe ambao unakuja ukikuelekeza kulipa kulingana na kiwango cha fedha ambacho ulilipia wakati unajiunga.

Mfano levo ya P3 kiwango cha kujiunga ni Tsh. 540,000 hivyo unatakiwa kulipia nusu ya kiasi hicho ambacho ni 270,000 ili wakuwezeshe kufungua akaunti yako na uweze kutoa fedha zako zote zilizosalia kwenye Wallet uhamishe katika mitandao ya simu.

Kinachofanyika ni kuwa hasara inaongezeka kwa Watu kuendelea kuliwa zaidi licha ya juhudi nzuri za Serikali na Jeshi la Polisi linawakamata Watu.

Pia soma:
~
Jeshi la Polisi Morogoro lawakamata maofisa saba wa LBL kwa tuhuma za biashara haramu ya fedha

~ Benki Kuu (BoT): Hatujatoa leseni wala kuruhusu shughuli za LBL
Wewe nae nilipumbavi la mwisho, nyie wajinga si niliwaambia Hilo LBL ni utapeli mkanishukia na matusi. Yani nyie ni mjinga na mapumbavu acha mtapekiwe shenzi
 
Hatuna mwanasheria!
Naweza nikataja kumbe mmojawapo yupo humu, akaanza kunifukua mpaka anijue,, naogopa kujulikana,😂

Mimi nawacheka tyu, kuna ndugu yangu yeye ana elimu na exposure kubwa anasali hapo kanisani, nikamwambia kwanini hukuwatonya kua wanaibiwa?

Akanijibu aliwaambia ila wakawa wabishi isitoshe mtu mmoja huwezi kupambana mawazo na watu wengi so akawaacha
Basi wakati anawakataza kujiunga walikua wanamuona kama pepo vile eti anashindana na mchungaji🤣
Njoo ntajie inbox mimi nitawataja kivyangu, hii nchi ina matahira wengi sana
 
watu hawana elimu! Mwingine alikua anawakataza watu kujiunga eti anawaambia hao LBL ni freemasons🙌😂
Alafu wengi wanaoleta hizi ponzi Tanzania ni watu Wa Kenya hakuna cha freemason wala nini, vijana wamechoka na umaskini wanaamua kuja kujichukulia pesa kiulaini, nakumbuka moja wa staffs wa kalynda alikuwa mchina alafu anaitwa john, hivi kweli mchina anaitwa Joni au frank jamaa hawashtuki tu ? Jinga kabisaaa
 
Alafu wengi wanaoleta hizi ponzi Tanzania ni watu Wa Kenya hakuna cha freemason wala nini, vijana wamechoka na umaskini wanaamua kuja kujichukulia pesa kiulaini, nakumbuka moja wa staffs wa kalynda alikuwa mchina alafu anaitwa john, hivi kweli mchina anaitwa Joni au frank jamaa hawashtuki tu ? Jinga kabisaaa
Kenya ,nigeria ,Botswana .Kingine vijana wale wale ambao wanatangaza mafanikio yao kupitia biashara ya forex ndio wahusika wengi.

Evolution ya hizi schemes ni Bitcoin kwa sababu sio rahisi kutrack miamala yake ,ukiona kuna huduma za mobile money ,kama Airtel , tigopesa na Mpesa basi tambua kuna watanzania wanahusika moja kwa moja.

Wanaenda kusajili servers nje halafu wanakuja kubadilisha baadhi ya mambo huku Africa ,baadaye website inakuwa hewani ikiwa na kila kitu fake mpaka masaa yake unaweza kusem iko london kumbe wahuni wako hapo Naivasha ..Hapa bongo kuna jamaa anaitwa Sudi Silaa naye ni mbishi anaishi kwa hii michezo anakula pesa ndefu ,yuko radhi watanzania wapunwe ila yeye apige pesa na tumbo lake kama pakacha.
 
Alafu wengi wanaoleta hizi ponzi Tanzania ni watu Wa Kenya hakuna cha freemason wala nini, vijana wamechoka na umaskini wanaamua kuja kujichukulia pesa kiulaini, nakumbuka moja wa staffs wa kalynda alikuwa mchina alafu anaitwa john, hivi kweli mchina anaitwa Joni au frank jamaa hawashtuki tu ? Jinga kabisaaa
Wakulaumiwa ni CCM
 
Kenya ,nigeria ,Botswana .Kingine vijana wale wale ambao wanatangaza mafanikio yao kupitia biashara ya forex ndio wahusika wengi.

Evolution ya hizi schemes ni Bitcoin kwa sababu sio rahisi kutrack miamala yake ,ukiona kuna huduma za mobile money ,kama Airtel , tigopesa na Mpesa basi tambua kuna watanzania wanahusika moja kwa moja.

Wanaenda kusajili servers nje halafu wanakuja kubadilisha baadhi ya mambo huku Africa ,baadaye website inakuwa hewani ikiwa na kila kitu fake mpaka masaa yake unaweza kusem iko london kumbe wahuni wako hapo Naivasha ..Hapa bongo kuna jamaa anaitwa Sudi Silaa naye ni mbishi anaishi kwa hii michezo anakula pesa ndefu ,yuko radhi watanzania wapunwe ila yeye apige pesa na tumbo lake kama pakacha.
Mkuu naelewa sana sababu me natandikaga code kwahiyo najua haya mambo ya programming na namna hizi platform zinavyofanya kazi..ila watu ukieaambia kwamba hiyo mifumo mtu akiingia kwenye panel alafu kwenye code achomoe hata herufi moja tu kwenye login form ya mfumo hamtaweza kuingia wanabisha mpaka wanataka kukupiga Ila wacha waumizwe ndio watajua kipi ni kipi.....
 
Mkuu naelewa sana sababu me natandikaga code kwahiyo najua haya mambo ya programming na namna hizi platform zinavyofanya kazi..ila watu ukieaambia kwamba hiyo mifumo mtu akiingia kwenye panel alafu kwenye code achomoe hata herufi moja tu kwenye login form ya mfumo hamtaweza kuingia wanabisha mpaka wanataka kukupiga Ila wacha waumizwe ndio watajua kipi ni kipi.....
🤣🤣Utasikia tunapiga hela
 
Back
Top Bottom