pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 5,248
- 3,663
Aendelee kupigwaWeka hiyo hela account yako iwe activated.
LBL kwa maendeleo yetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aendelee kupigwaWeka hiyo hela account yako iwe activated.
LBL kwa maendeleo yetu.
Hata DECI ilikuwa hivyoKuna story nikihadithia mtacheka sana!
Kuna kanisa la walokole wamepigwa kuanzia mchungaji hadi waumini.
Walitangaziwa kanisani🤣
Ndio inavyokuwaga, wanaomsubiri watu wapigwe kwanza nadhani wana % zao.Kuna uzembe kwenye serikali yetu,hivi vitu vinapoanzishwa kwanini serikali haivikemei mpaka wasubiri watu wapate hasara...?
Mkuu watu mmoja mmoja lazime wapige hela ili washawishi na wengine zaidi. Leo ni volume iwe kubwa alafu kama kawaida wanakuja ingia mitini. Ni kama hii michezo supa au tatu mzuka wanacheza watu elfu hamsini wanashinda watu miaBinafsi sisi tuna group letu la graduate tulio soma nao tangia mwezi wa kumi na moja Kama sikosei mwaka Jana...wakajiunga kwa 540k na sio Siri dada yeye kavuna zaidi ya 3m
So sisi wengine ni wagumu Sana kuingia kwenye izo ponze scheme maana kipindi Cha KALINDYA pia nilipata ushawishi mkubwa Ila Mimi nilikataa na haikupita muda watu wakaumia..
Mimi sio muumini wa hizi mambo Ila mfano ukiwa mjanja ukajiunga mapema unanufaika Ila Mimi siwezi cheza Wala kujiunga na vitu Kama hivi Bora nikalime Mananasi ikwiriri huko rufiji..
Wanakula na serikaliKuna uzembe kwenye serikali yetu,hivi vitu vinapoanzishwa kwanini serikali haivikemei mpaka wasubiri watu wapate hasara...?
Mchungaji si yuko karibu na Mungu? Mwambie apige maombi mfulilizo kwa siku saba pesa yake itarudi fasta.Kuna story nikihadithia mtacheka sana!
Kuna kanisa la walokole wamepigwa kuanzia mchungaji hadi waumini.
Walitangaziwa kanisani🤣
Nlitaka kusema dirishani chini kwa chini, hizi simu autocorrect yake itakuja kutufanya tutukane hadi wazee wetu bureBikini?🤔
Wakati wa kuwajibishwa wanatakiwa Warudishe Hela zote za watu kwa kutumia mifumo yao !Licha ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa tangazo linaloeleza kuwa haihusiki na jambo lolote linalohusu Kampuni inayoitwa Leo Beneath London (LBL) ambayo inavyoonekana kilio chetu ni cha Watu wengi, lakini nimeamua kuandika hapa kwa kuwa najua kuna wenzetu ambao wana msongo wa mawazo wanaendelea kama mimi wanaendelea kupigwa.
Ipo hivi wale ambao tulikuwa Wanachama, kila tukiingia kwenye mfumo huo kwa nia ya kuangalia nini kinaendelea, tunakutana na jumbe mbalimbali, mojawapo ni kuwa inatutaka kulipia hadi Tsh. 270,000 ili kuweza kuingia katika Akaunti husika na kufanya mchakato wa kunasua fedha zetu zilizokwama ndani.
Nafikisha ujumbe huu kupitia JamiiForums naamini ujumbe huu utafika sehemu nyingi kwa kuwa mimi siwezi kuwafikia BoT.
Ukifungua kwenye akaunti yako ya LBL kuna ujumbe ambao unakuja ukikuelekeza kulipa kulingana na kiwango cha fedha ambacho ulilipia wakati unajiunga.
Mfano levo ya P3 kiwango cha kujiunga ni Tsh. 540,000 hivyo unatakiwa kulipia nusu ya kiasi hicho ambacho ni 270,000 ili wakuwezeshe kufungua akaunti yako na uweze kutoa fedha zako zote zilizosalia kwenye Wallet uhamishe katika mitandao ya simu.
Kinachofanyika ni kuwa hasara inaongezeka kwa Watu kuendelea kuliwa zaidi licha ya juhudi nzuri za Serikali na Jeshi la Polisi linawakamata Watu.
Pia soma:
~ Jeshi la Polisi Morogoro lawakamata maofisa saba wa LBL kwa tuhuma za biashara haramu ya fedha
~ Benki Kuu (BoT): Hatujatoa leseni wala kuruhusu shughuli za LBL
Kwa kweli watanzania inatubidi tuendekee kujifunza na serikali ina jitahidi kueleimisha tatizio watanzania tuna taka njia fupi nikimaanisha utajiri wa haraka na nsicho kinacho tugharimu baadhi ya watanzania tulio wengiHapo hakuna kitu mshapigwa na mkiweka hela tena mnapigwa vile vile
Jinga sana hiloYani haya mapumbavu ni majinga hata lilivyoandika tu unagundua ni LIPUMBAVU la mwisho, eti sijui level 3 sijui nini Yani haya masenge hata yakiongea nayaona ni hasara kubwa KWAHIYO YALIKUA YANAONA YAMEWIN MAISHA KIRAHISI RAHISI
😂😂😂😂😂😂😂😂 umekasirika mastaYani haya mapumbavu ni majinga hata lilivyoandika tu unagundua ni LIPUMBAVU la mwisho, eti sijui level 3 sijui nini Yani haya masenge hata yakiongea nayaona ni hasara kubwa KWAHIYO YALIKUA YANAONA YAMEWIN MAISHA KIRAHISI RAHISI
Ni nyota, watu wana nyota ya kutapeliwa.Ila me nakuiliza swali, nyie ujinga ni kipaji kwenu au sio ? Mbona huwa hamsikii
Leseni, TIN na tax clearence vinaweza vikawa feki pia.Serikali ina ujinga mwingi, hizi kampuni zinapataje business license? Na Tax clearance je ? Serikali wana snitch ila majanga yakitokea eti askari anakuja kukamata baada ya damage kutokea na ni possible walio na mizigo washajipindua mbele, askari wa Tanzania wanajua kuwahi kwenye masikio haya
Mkuu najua kabisa vinaweza kuwa feki sasa serikali ifanyaje kuwanusuru hawa mazwazwa wa kila siku ?...Alafu mkuu niombe msamaha, kuna namna umeniadress mimi kama mmoja wa wateja wao, MIMI SIO MMOJA WAKO NA HAITAKUJA ITOKEE HATA SIKU MOJA....Leseni, TIN na tax clearence vinaweza vikawa feki pia.
HAO HAO MAMENEJA WENU WALIO KAMATWA, HATA WAO HAWAJUI MWAJIRI WAO NI NANI.
Jambo la msingi hapa ni "hawa watu wana zalisha vipi fedha, mpaka kukupa wewe faida?"
Mkuu 😂😂😂 kama wakikujua unasema wana nyota hiyo watakupigaNi nyota, watu wana nyota ya kutapeliwa.
Samahani mkuuMkuu najua kabisa vinaweza kuwa feki sasa serikali ifanyaje kuwanusuru hawa mazwazwa wa kila siku ?...Alafu mkuu niombe msamaha, kuna namna umeniadress mimi kama mmoja wa wateja wao, MIMI SIO MMOJA WAKO NA HAITAKUJA ITOKEE HATA SIKU MOJA....
Ukweli serikali ina mambo mengi ya msingi ya kufanya,Mkuu najua kabisa vinaweza kuwa feki sasa serikali ifanyaje kuwanusuru hawa mazwazwa wa kila siku ?...Alafu mkuu niombe msamaha, kuna namna umeniadress mimi kama mmoja wa wateja wao, MIMI SIO MMOJA WAKO NA HAITAKUJA ITOKEE HATA SIKU MOJA....