Polisi inawakamata Waratibu wa LBL lakini Watu wanaendelea kupigwa hela kwenye mfumo huohuo

Polisi inawakamata Waratibu wa LBL lakini Watu wanaendelea kupigwa hela kwenye mfumo huohuo

Kuna story nikihadithia mtacheka sana!
Kuna kanisa la walokole wamepigwa kuanzia mchungaji hadi waumini.
Walitangaziwa kanisani🤣
Hata DECI ilikuwa hivyo
Ilikuwa inatangazwa na wachungaji wa makanisa ya kilokole lakini mwisho wa siku watu walipigwa
 
Binafsi sisi tuna group letu la graduate tulio soma nao tangia mwezi wa kumi na moja Kama sikosei mwaka Jana...wakajiunga kwa 540k na sio Siri dada yeye kavuna zaidi ya 3m

So sisi wengine ni wagumu Sana kuingia kwenye izo ponze scheme maana kipindi Cha KALINDYA pia nilipata ushawishi mkubwa Ila Mimi nilikataa na haikupita muda watu wakaumia..

Mimi sio muumini wa hizi mambo Ila mfano ukiwa mjanja ukajiunga mapema unanufaika Ila Mimi siwezi cheza Wala kujiunga na vitu Kama hivi Bora nikalime Mananasi ikwiriri huko rufiji..
Mkuu watu mmoja mmoja lazime wapige hela ili washawishi na wengine zaidi. Leo ni volume iwe kubwa alafu kama kawaida wanakuja ingia mitini. Ni kama hii michezo supa au tatu mzuka wanacheza watu elfu hamsini wanashinda watu mia
 
Kuna story nikihadithia mtacheka sana!
Kuna kanisa la walokole wamepigwa kuanzia mchungaji hadi waumini.
Walitangaziwa kanisani🤣
Mchungaji si yuko karibu na Mungu? Mwambie apige maombi mfulilizo kwa siku saba pesa yake itarudi fasta.
 
Licha ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa tangazo linaloeleza kuwa haihusiki na jambo lolote linalohusu Kampuni inayoitwa Leo Beneath London (LBL) ambayo inavyoonekana kilio chetu ni cha Watu wengi, lakini nimeamua kuandika hapa kwa kuwa najua kuna wenzetu ambao wana msongo wa mawazo wanaendelea kama mimi wanaendelea kupigwa.

Ipo hivi wale ambao tulikuwa Wanachama, kila tukiingia kwenye mfumo huo kwa nia ya kuangalia nini kinaendelea, tunakutana na jumbe mbalimbali, mojawapo ni kuwa inatutaka kulipia hadi Tsh. 270,000 ili kuweza kuingia katika Akaunti husika na kufanya mchakato wa kunasua fedha zetu zilizokwama ndani.
Nafikisha ujumbe huu kupitia JamiiForums naamini ujumbe huu utafika sehemu nyingi kwa kuwa mimi siwezi kuwafikia BoT.

Ukifungua kwenye akaunti yako ya LBL kuna ujumbe ambao unakuja ukikuelekeza kulipa kulingana na kiwango cha fedha ambacho ulilipia wakati unajiunga.

Mfano levo ya P3 kiwango cha kujiunga ni Tsh. 540,000 hivyo unatakiwa kulipia nusu ya kiasi hicho ambacho ni 270,000 ili wakuwezeshe kufungua akaunti yako na uweze kutoa fedha zako zote zilizosalia kwenye Wallet uhamishe katika mitandao ya simu.

Kinachofanyika ni kuwa hasara inaongezeka kwa Watu kuendelea kuliwa zaidi licha ya juhudi nzuri za Serikali na Jeshi la Polisi linawakamata Watu.

Pia soma:
~
Jeshi la Polisi Morogoro lawakamata maofisa saba wa LBL kwa tuhuma za biashara haramu ya fedha

~ Benki Kuu (BoT): Hatujatoa leseni wala kuruhusu shughuli za LBL
Wakati wa kuwajibishwa wanatakiwa Warudishe Hela zote za watu kwa kutumia mifumo yao !
 
Hapo hakuna kitu mshapigwa na mkiweka hela tena mnapigwa vile vile
Kwa kweli watanzania inatubidi tuendekee kujifunza na serikali ina jitahidi kueleimisha tatizio watanzania tuna taka njia fupi nikimaanisha utajiri wa haraka na nsicho kinacho tugharimu baadhi ya watanzania tulio wengi
 
Yani haya mapumbavu ni majinga hata lilivyoandika tu unagundua ni LIPUMBAVU la mwisho, eti sijui level 3 sijui nini Yani haya masenge hata yakiongea nayaona ni hasara kubwa KWAHIYO YALIKUA YANAONA YAMEWIN MAISHA KIRAHISI RAHISI
Jinga sana hilo
 
Yani haya mapumbavu ni majinga hata lilivyoandika tu unagundua ni LIPUMBAVU la mwisho, eti sijui level 3 sijui nini Yani haya masenge hata yakiongea nayaona ni hasara kubwa KWAHIYO YALIKUA YANAONA YAMEWIN MAISHA KIRAHISI RAHISI
😂😂😂😂😂😂😂😂 umekasirika masta
 
Serikali ina ujinga mwingi, hizi kampuni zinapataje business license? Na Tax clearance je ? Serikali wana snitch ila majanga yakitokea eti askari anakuja kukamata baada ya damage kutokea na ni possible walio na mizigo washajipindua mbele, askari wa Tanzania wanajua kuwahi kwenye masikio haya
Leseni, TIN na tax clearence vinaweza vikawa feki pia.
HAO HAO MAMENEJA WENU WALIO KAMATWA, HATA WAO HAWAJUI MWAJIRI WAO NI NANI.

Jambo la msingi hapa ni "hawa watu wana zalisha vipi fedha, mpaka kukupa wewe faida?"
 
Leseni, TIN na tax clearence vinaweza vikawa feki pia.
HAO HAO MAMENEJA WENU WALIO KAMATWA, HATA WAO HAWAJUI MWAJIRI WAO NI NANI.

Jambo la msingi hapa ni "hawa watu wana zalisha vipi fedha, mpaka kukupa wewe faida?"
Mkuu najua kabisa vinaweza kuwa feki sasa serikali ifanyaje kuwanusuru hawa mazwazwa wa kila siku ?...Alafu mkuu niombe msamaha, kuna namna umeniadress mimi kama mmoja wa wateja wao, MIMI SIO MMOJA WAKO NA HAITAKUJA ITOKEE HATA SIKU MOJA....
 
Mkuu najua kabisa vinaweza kuwa feki sasa serikali ifanyaje kuwanusuru hawa mazwazwa wa kila siku ?...Alafu mkuu niombe msamaha, kuna namna umeniadress mimi kama mmoja wa wateja wao, MIMI SIO MMOJA WAKO NA HAITAKUJA ITOKEE HATA SIKU MOJA....
Samahani mkuu
 
Mkuu najua kabisa vinaweza kuwa feki sasa serikali ifanyaje kuwanusuru hawa mazwazwa wa kila siku ?...Alafu mkuu niombe msamaha, kuna namna umeniadress mimi kama mmoja wa wateja wao, MIMI SIO MMOJA WAKO NA HAITAKUJA ITOKEE HATA SIKU MOJA....
Ukweli serikali ina mambo mengi ya msingi ya kufanya,
Huu utapeli sio wa kwanza, kwamba watu hawakuwa na uelewa.
kuna
D9,
SCATEC,
KALYNDA,
KIJIJI
QNET
JATU
VANILLA
ALLIANCE GLOBAL
FIC
NK NK

KUNA KUJIFUNZA KWA KUSIKIA, NA KUJIFUNZA KWA KUONA/MATUKIO.
UCHAGUZI NI WAKO
 
Back
Top Bottom