Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Good work
👇
👇
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WanaCdm wenzangu wanamatatizoChadomo wanawatetea 😁😁
SanaHaya majambazi ya kutumia silaha ni hatari sana
Hamna mwanacdm mwenye tabia za kihanithi.WanaCdm wenzangu wanamatatizo
Wewe acha kulalama hovyo. Mbona hawajaua wauza nyanya huko IringaGenge la CCM kwenye ubora wa kuua
Nitakuwa mtu wa mwisho kushabikia mauaji yanayofanywa na policcm kwa kisingizio cha ujambazi!Genge la CCM kwenye ubora wa kuua
Not everyday is saturdayNitakuwa mtu wa mwisho kushabikia mauaji yanayofanywa na policcm kwa kisingizio cha ujambazi!
Si ndiyo hawa hawa waliowahi kuwaua wafanyabiashara wa madini kutoka Mahenge Ulanga, halafu wakatengeneza uongo kama huu wa kuwasingizia eti walikuwa ni majambazi!
Achilia mbali yule mfanyabiashara wa Mtwara aliyeuwawa miezi kadhaa iliyopita! Achilia mbali yule Mzee mstaafu wa Arusha aliyebambikiwa meno ya tembi na polisi hao hao!!!
Wewe pimbi shida yako nini?Hiyo ripoti ya polisi Iko sawa hiyo? Tarehe 30 September 2022 saa nane usiku ni tayari kweli?