Kambaku
JF-Expert Member
- Nov 12, 2011
- 8,332
- 31,306
Shida yangu ni kuwa ni vibaya Kwa taarifa rasmi ya taasisi kubwa kama PT kuwa na makosa ya waziwazi kabisa. Kwanza inaonesha upungufu wa weledi lakini pia inaonesha kutokuwa makini kitu kinachoweza kuleta kutoaminika Kwa taarifa yenyewe.Wewe pimbi shida yako nini?
Baada ya kueleza shida yangu turudi kwenye upimbi Sasa. Unahisi kati yangu na wewe nani ni pimbi zaidi tupu ya nyuma wewe? Mtu gani usiye na ustarabu hata kidogo? Unashindwaje kuwasilisha mawazo Yako bila kutukana watu, unahisi wewe ndo unayaweza sana matusi sio?
Chukua tahadhari baradhuli wewe, usishoboke na watu usiowajua wengine hatuna ashki na Wanaume kima wewe