Polisi jamii auliwa baada ya kuchapwa viboko 70!

Adhabu ya kipuuzi.
Sasa imeenda kusababisha familia kukosa baba.
Watoto wanaenda kuwa machokoraa wa mitaani mtoa huduma wamemuuwa.
Sidhani Kama lengo la adhabu kuleta shida ya kudumu. Subiri waijibu jamhuri kesi ya kuuwa.
 
Human torture.premptory norm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…