Habari wadau
Maeneo ya Igunga, nzega, tabora, tinde, shinyanga, mizungwi, geita, chato, masumbwe, Isaka,kahama, ushirombo n.k
Ikiwa hujawahi tembea maeneo hayo usiku ni vigumu sana kuelewa hatari ya trekta mbovu, tela za punda na ng'ombe zinazotumika usiku kucha!
Maeneo hayo kuna treka za mkono maarufu power tila! Wanaziundia tella kubwa la kuvuta! Hivyo ziwapo barabarani huwa hazina taa wala reflector za tahadhali!
Mara nyingi wanazitumia usiku kucha kubeba mazao!
Nashauri polisi ifanye operesheni ya kuwabaini, kuwakamata na kuwapa mafunzo kwa lazima waendesha matela ya ng'ombe na power tilla ili kuepusha ajali!
Pia wahakikishe wanafunga taa mbili za ishara, alama za tahadhali mbele na nyuma ya vyombo vyao!
Ajali nyingi zinazochangiwa na hayo ma power tilla hufananishwa sana na bodaboda au baisikeli, kitu ambacho humshitua dereva wa gari pale ghafla anapoona tella kubwa linalovutwa kwa nyuma na power tilla barabarani.
Polisi Kanda ya Ziwa fanyeni opereshini hii maalum kuondoa tatizo hili ni hatari kwa wote!
Maeneo ya Igunga, nzega, tabora, tinde, shinyanga, mizungwi, geita, chato, masumbwe, Isaka,kahama, ushirombo n.k
Ikiwa hujawahi tembea maeneo hayo usiku ni vigumu sana kuelewa hatari ya trekta mbovu, tela za punda na ng'ombe zinazotumika usiku kucha!
Maeneo hayo kuna treka za mkono maarufu power tila! Wanaziundia tella kubwa la kuvuta! Hivyo ziwapo barabarani huwa hazina taa wala reflector za tahadhali!
Mara nyingi wanazitumia usiku kucha kubeba mazao!
Nashauri polisi ifanye operesheni ya kuwabaini, kuwakamata na kuwapa mafunzo kwa lazima waendesha matela ya ng'ombe na power tilla ili kuepusha ajali!
Pia wahakikishe wanafunga taa mbili za ishara, alama za tahadhali mbele na nyuma ya vyombo vyao!
Ajali nyingi zinazochangiwa na hayo ma power tilla hufananishwa sana na bodaboda au baisikeli, kitu ambacho humshitua dereva wa gari pale ghafla anapoona tella kubwa linalovutwa kwa nyuma na power tilla barabarani.
Polisi Kanda ya Ziwa fanyeni opereshini hii maalum kuondoa tatizo hili ni hatari kwa wote!