Polisi: Kigwangalla hajampiga risasi mlinzi Jumanne

Polisi: Kigwangalla hajampiga risasi mlinzi Jumanne

Kwanini serikali hii inatumia nguvu kubwa kuficha ujinga?

Waziri ameua mchepuko kwenye ajali ikafichwafichwa, Kigwangala ametandika mtu nayo inafichwafichwa!!

Arusha kuna ufisadi wa mabilioni ya pesa lakini mkuu wa mkoa analindwa na serikali!
Hadi wewe kada unalalamika ?
 
MIMI NINGEKUWA HUYO MZEE NIKIFANYA INTERVIEW NA KUWAELEZA UMMA HATA KWA SIMU.

HAKI INAPINDISHWA SANA NCHII HII TENA WAZIWAZI INATISHA SANAA
Hivi unaelewa maana ya ile kauli kila Mtu ale kwa urefu wa kamba yake!? Siku hizi kila sector ifanyae yake na hakuna kuingiliana! Kwa hiyo hata ukipaza sauti utaambiwa hatuwezi kuingilia RPC akiwa anafanya kazi yake! Ndiyo imetoka hiyo!!
 
Mpaka 2025 tutaona mengi. Mara naibu Waziri kalindwa, leo Kigangwalla analindwa kesho sijui atakuwa Nani.
 
Polisi Mkoani Mwanza wametoa ufafanuzi juu ya taarifa inayosambaa mitandaoni kumhusu Mbunge wa Jimbo la Nzega Vijijini na Mmiliki wa Kiwanda cha kuchakata Pamba kitwacho Mwalujo Ginery kilichopo Kijiji cha Mwalujo, Wilaya ya Kwimba, Hamisi Kingwangala kudaiwa kumpiga risasi Mlinzi wake Jumanne Omary Misango (66) katika mguu wa kulia, ambapo imebainika Jumanne hakupigwa risasi bali haliwaongopea Polisi.

RPC wa Mwanza, Wilbrod Mutafungwa amesema taarifa za awali zinaonesha kulitokea wizi wa mali kiwandani ikiwemo Gear Motor HP Radio made 02, Electrical Motor 05 na nyaya za umeme @ Armored Cable Mita 25 vyote vikiwa na thamani ya Tsh 28,525,000.

“Mei 22, 2023 saa 11:00 jioni Kigwangala alifika kiwandani kwake na kukatokea majibizano kati yake na Mlinzi wake, Mlinzi huyo alitoa taarifa Polisi kuwa alishambuliwa na kupigwa risasi mguu wa kulia, Askari walifika eneo la tukio na kufanya ukaguzi ambapo hakukuonekena viashiria vyovyote vya matumizi ya silaha ya moto”

“Hata hivyo Jumanne alipewa PF3 na kwenda Hospitali ya Wilaya ya kwimba kwa uchunguzi wa kitabibu, Hamisi Kigwangala alihojiwa na kufunguliwa kesi ya shambulio na yupo nje kwa dhamana”
 
HAYA SASA NLISEMA KWENYE COMMENT YA UZI MMOJA KUHUSU
SAKATA HILI,
kuwa subirini tamko la polisi
Mtasikia UTURN ikatayopigwa

Haya kesi kwishaaa

Ova
 
RPC Mtafungwa wa Mwanza amesema kijana Omary aliyedai alipigwa risasi mguuni na Dr Kigwangalla alipewa PF 3 na baada ya kufika hospital Uchunguzi wa kitabibu imeonesha hana jereha lolote na mfupa haujavunjika

Hivyo Omary anashikiliwa na polisi na atafikishwa mahakamani

Aidha Uchunguzi wa Kesi zote mbili bado unaendelea na Dr Kigwangalla yuko nje kwa dhamana, amesema Kamanda Mutafungwa

Source: Ayo tv
Kibao kimegeuka kwa ommy guy

[emoji1]

Bongo kiongozi au mtu mwenye wadhifa akikuzingua we mzingue
Tu mmalizane wenyewe
We ukisema ukimbilie kwenye vyombo vya kusimamia sheria hutomuweza

Ova
 
Back
Top Bottom