Polisi: Kufanyia kongamano la Katiba ni kuvunja Katiba na sheria za nchi

Polisi: Kufanyia kongamano la Katiba ni kuvunja Katiba na sheria za nchi

Sheria za nchi ya Mara ama ni hizi hiz za hapa kwetu Tanzania?Kamanda wa POLICE mkoa anatarajiwa kuzifahamu sheria na kuzitafsiri kwa weledi pasina mihemko au makengeza.Vipi?
Hiyo ni sehemu ya ila iliyokuwa chini ya sgang.
 
Amesema lisifanyikie Mara,kafanyieni Moshi au Hai huko hakuna noma.
 
Akiulizwa kifungu gani cha sheria hana majibu

Polisi Kaz yenu n kulinda raia na Mali haya ya sheria muiachie mahakama itafsiri hizo sheria

Naona manavuka mipaka ya kazi zenu lakn sishangai OLE SABAYA alikuwa mkuu wa wilaya HAI lakn anakusanya mapato ARUSHA

,,,UKIONA MBUZI JUU YA MTI JUA KAPANDISHWA ,,,,,,,

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom