Polisi kukatiza mitaani na silaha ili hali wakiwa wamevaa kiraia: Je, kanuni za Jeshi la Polisi zina muongozo upi?

Polisi kukatiza mitaani na silaha ili hali wakiwa wamevaa kiraia: Je, kanuni za Jeshi la Polisi zina muongozo upi?

Hao wanatusaidia kuondoa vibaka maana hawacheki na kima
 
Unadhani hiyo amani na uhuru wa wewe kuandika uzi umepatikana hivihivi? Acha kukosoa mambo usiyoyajua. Watu wapo kazini kuhakikisha usalama. Acha kuingilia yasiyokuhusu
Wewe ni pimbi sana. Ameuliza ili aelimishwe, unaleta mipasho. Kama hujui kitu bora kukaa kimya
 
Wewe ni pimbi sana. Ameuliza ili aelimishwe, unaleta mipasho. Kama hujui kitu bora kukaa kimya
Wewe kama mwanangu wa kambo Anza kwanza kumwambia mamako awe anakaa kimya kwasababu huwa ana kelele sana nikiwa naye.
 
Back
Top Bottom