Polisi kumng'ang'ania mtuhumiwa na hali ya kuwa walalamikaji hawana mpango na kesi tatizo ni nini?

Polisi kumng'ang'ania mtuhumiwa na hali ya kuwa walalamikaji hawana mpango na kesi tatizo ni nini?

Wakuu kuna jamaa yangu alipatwa na tatizo wakawa wamempeleka polisi, kule polisi akapata dhamana kwa sababu kosa lake lilikuwa lina dhamana, akaenda kuzungumza na wale waliokuwa wanamshitaki na wakawa wameelewana kuwa mambo yasiendelee mbele zaidi yaani kufika mahakamani.

Sasa changamoto iliyopo ni polisi kukomaa hasa yule mpelelezi aliyepewa jarada (file), kesi kaipeleka mahakamani na bado anamkomalia jamaa afike mahakamani, wanaomshitaki jamaa hawataki kesi wao wanapigiwa simu na polisi za vitisho ili wafike mahakamani, sielewi shida ni nini?[emoji854]

Polisi wanaitafuta kwa nguvu zote aisee.
Waende tu mahakamani wakapindishe ushahidi biashara inaisha mapema kabisa na kesi kufutwa.

Huyo mpelelezi anataka rushwa sasa alivyoona jamaa wameyamaliza pasipo yeye kupata chochote ame mind.
 
Kama alifanya jinai,mshtaki ni Jamuhuri.Hao walalamikaji ni mashahidi tu.Ongeeni na huyo mpelelezi mpatie pesa ili aende mahakamani atie Nolle au withdrawal as per CPA sect.91 au withdrawal sect.98.Usipofanya hivyo huyu nduguyo atahukumiwa.
Atahukumiwa bila ushahidi? Hao wenye kesi yao waende mahakamani wakatoe ushahidi wenye kutilia shaka shtaka biashara inaisha mapema.

Hakuna mtu anahukumiwa pasipo ushahidi usio na shaka.
 
Wakuu kuna jamaa yangu alipatwa na tatizo wakawa wamempeleka polisi, kule polisi akapata dhamana kwa sababu kosa lake lilikuwa lina dhamana, akaenda kuzungumza na wale waliokuwa wanamshitaki na wakawa wameelewana kuwa mambo yasiendelee mbele zaidi yaani kufika mahakamani.

Sasa changamoto iliyopo ni polisi kukomaa hasa yule mpelelezi aliyepewa jarada (file), kesi kaipeleka mahakamani na bado anamkomalia jamaa afike mahakamani, wanaomshitaki jamaa hawataki kesi wao wanapigiwa simu na polisi za vitisho ili wafike mahakamani, sielewi shida ni nini?🙃

Polisi wanaitafuta kwa nguvu zote aisee.
Noti inatakiwa hapo....kuingia polisi ni bure ila kutoka sasa ndio kimbembe
 
Hakuna sheria inayo mlazimisha mtu kutoa ushahid mahakaman ndio maana shahadi anawez kutofka mahakaman na asichukuliwe sheria /adhabu yoyote zid yake

Kama kesi ni ya jamuhuri bas wao watafute mashahid ambao wanahiyar kutoa ushahid


Polis kuingia bure kutoka na Ela
 
Back
Top Bottom