milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Ni chura kiziwiWewe endelea kujifanya kichwa ngumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni chura kiziwiWewe endelea kujifanya kichwa ngumu
Acha Ramli kama mganga wa kienyeji.CCM itaendelea kuongoza Taifa letu kwa kadri ya uhai wakeKifo cha sisiem kitakuwa kifo cha jeshi la polis....
Hana muda,Hata wewe kuna siku utakufa.
Utakufa weweHata wewe kuna siku utakufa.
Hata Moi alisema maneno kama haya kuhusu KANUAcha Ramli kama mganga wa kienyeji.CCM itaendelea kuongoza Taifa letu kwa kadri ya uhai wake
Shahawa zilizokuzaa heri zingemwagwa chooni tuNdugu zangu Watanzania,
Hiii ndio taarifa ya jeshi la Polisi Nchini.ikitoa onyo kali kwelikweli kwa chama siasa ambacho baada ya wagombea wake kukatwa katika hatua za uteuzi.
Imetaka chama ambacho hakijaridhishwa na mchakato wa uteuzi kifuate sheria,kanuni,taratibu na miongozi mbalimbali kama inavyoelekezwa na sheria za uchaguzi wa serikali za mitaa.
Jeshi hilo ambalo linatajwa kubwa jeshi bora katika ukanda huu wa Afrika mashariki na kusini mwa jangwa la Sahara.limesema kuwa halitasita kuchukua hatua kali kwa yeyote yule atakaye kiula taratibu na kufanya vuruguView attachment 3147340
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kinajijua chenyewe.na kama kikiendelea na ujuaji kitakutana na mkono wa dola.Ni chama gani tena ?
Kama ni ujinga basi fanya fujo uone kitakacho kupata .Ujinga mtupu,watupe ripoti ya watu waliotekwa kwanza,na wauaji wa Kibao ni kina nani ndio tuendelee na mengine,vinginevyo ni kutafuta sifa tu
Fujo zinafanywa na Tamisemi hawa Polisi wanajipendekeza tu hawana loloteKama ni ujinga basi fanya fujo uone kitakacho kupata .
Onyo kWa Wana ccm watakaotahiriwaNdugu zangu Watanzania,
Hiii ndio taarifa ya jeshi la Polisi Nchini.ikitoa onyo kali kwelikweli kwa chama cha siasa ambacho baada ya wagombea wake kukatwa katika hatua za uteuzi kinapanga kuwahamasisha wafuasi na wanachama wake kufanya vurugu, kuharibu ofisi za serikali na uharibifu mwingine mbalimbali.
Ambapo jeshi hilo la Polisi Nchini Limetaka chama ambacho hakijaridhishwa na mchakato wa uteuzi kifuate sheria,kanuni,taratibu na miongozi mbalimbali kama inavyoelekezwa na sheria za uchaguzi wa serikali za mitaa.
Jeshi hilo ambalo linatajwa kuwa jeshi bora katika ukanda huu wa Afrika mashariki na kusini mwa jangwa la Sahara.limesema kuwa halitasita kuchukua hatua kali sana kwa yeyote yule atakaye kiuka taratibu na sheria kwa kufanya vuruguView attachment 3147340
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwahiyo mnategemea jeshi la policcm kushinda?Mwenye kusikia na asikie. Sasa ole wake mtu alete ujuaji wake atakiona cha mtema kuni
Lucas , ukimuona mtu anadhulumu muonee huruma sana na usimuone mjanja, furaha ndogo Majuto makubwa twendakoNdugu zangu Watanzania,
Hiii ndio taarifa ya jeshi la Polisi Nchini.ikitoa onyo kali kwelikweli kwa chama cha siasa ambacho baada ya wagombea wake kukatwa katika hatua za uteuzi kinapanga kuwahamasisha wafuasi na wanachama wake kufanya vurugu, kuharibu ofisi za serikali na uharibifu mwingine mbalimbali.
Ambapo jeshi hilo la Polisi Nchini Limetaka chama ambacho hakijaridhishwa na mchakato wa uteuzi kifuate sheria,kanuni,taratibu na miongozi mbalimbali kama inavyoelekezwa na sheria za uchaguzi wa serikali za mitaa.
Jeshi hilo ambalo linatajwa kuwa jeshi bora katika ukanda huu wa Afrika mashariki na kusini mwa jangwa la Sahara.limesema kuwa halitasita kuchukua hatua kali sana kwa yeyote yule atakaye kiuka taratibu na sheria kwa kufanya vuruguView attachment 3147340
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Katika Qur'an, kuna aya zinazohimiza kufanya haki na uadilifu kwa watu wote, hata kwa wale ambao huenda huna upendo au uhusiano mzuri nao. Katika Surat Al-Ma'idah (5:8), Allah anasema:Ndugu zangu Watanzania,
Hiii ndio taarifa ya jeshi la Polisi Nchini.ikitoa onyo kali kwelikweli kwa chama cha siasa ambacho baada ya wagombea wake kukatwa katika hatua za uteuzi kinapanga kuwahamasisha wafuasi na wanachama wake kufanya vurugu, kuharibu ofisi za serikali na uharibifu mwingine mbalimbali.
Ambapo jeshi hilo la Polisi Nchini Limetaka chama ambacho hakijaridhishwa na mchakato wa uteuzi kifuate sheria,kanuni,taratibu na miongozi mbalimbali kama inavyoelekezwa na sheria za uchaguzi wa serikali za mitaa.
Jeshi hilo ambalo linatajwa kuwa jeshi bora katika ukanda huu wa Afrika mashariki na kusini mwa jangwa la Sahara.limesema kuwa halitasita kuchukua hatua kali sana kwa yeyote yule atakaye kiuka taratibu na sheria kwa kufanya vuruguView attachment 3147340
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Bado unafuatilia na kushiriki mijadala ya kisiasa ?si ulisema umeacha siasa?Lucas , ukimuona mtu anadhulumu muonee huruma sana na usimuone mjanja, furaha ndogo Majuto makubwa twendako
Kwani wapi umesikia tukitegemea polisi kushinda UchaguziKwahiyo mnategemea jeshi la policcm kushinda?
Mwenye kusikia na asikie. Sasa ole wake mtu alete ujuaji wake atakiona cha mtema kuni
Takukuru wamefurushwa kama mbwa koko huko Arusha waende kuwasaidia!Ndugu zangu Watanzania,
Hiii ndio taarifa ya jeshi la Polisi Nchini.ikitoa onyo kali kwelikweli kwa chama cha siasa ambacho baada ya wagombea wake kukatwa katika hatua za uteuzi kinapanga kuwahamasisha wafuasi na wanachama wake kufanya vurugu, kuharibu ofisi za serikali na uharibifu mwingine mbalimbali.
Ambapo jeshi hilo la Polisi Nchini Limetaka chama ambacho hakijaridhishwa na mchakato wa uteuzi kifuate sheria,kanuni,taratibu na miongozi mbalimbali kama inavyoelekezwa na sheria za uchaguzi wa serikali za mitaa.
Jeshi hilo ambalo linatajwa kuwa jeshi bora katika ukanda huu wa Afrika mashariki na kusini mwa jangwa la Sahara.limesema kuwa halitasita kuchukua hatua kali sana kwa yeyote yule atakaye kiuka taratibu na sheria kwa kufanya vuruguView attachment 3147340
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Katika Qur'an, kuna aya zinazohimiza kufanya haki na uadilifu kwa watu wote, hata kwa wale ambao huenda huna upendo au uhusiano mzuri nao. Katika Surat Al-Ma'idah (5:8), Allah anasema:Bado unafuatilia na kushiriki mijadala ya kisiasa ?si ulisema umeacha siasa?