LGE2024 Polisi: Kuna chama cha Siasa kinapanga kufanya Vurugu katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

LGE2024 Polisi: Kuna chama cha Siasa kinapanga kufanya Vurugu katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Ndugu zangu Watanzania,

Hiii ndio taarifa ya jeshi la Polisi Nchini.ikitoa onyo kali kwelikweli kwa chama siasa ambacho baada ya wagombea wake kukatwa katika hatua za uteuzi.

Imetaka chama ambacho hakijaridhishwa na mchakato wa uteuzi kifuate sheria,kanuni,taratibu na miongozi mbalimbali kama inavyoelekezwa na sheria za uchaguzi wa serikali za mitaa.

Jeshi hilo ambalo linatajwa kubwa jeshi bora katika ukanda huu wa Afrika mashariki na kusini mwa jangwa la Sahara.limesema kuwa halitasita kuchukua hatua kali kwa yeyote yule atakaye kiula taratibu na kufanya vuruguView attachment 3147340

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Shahawa zilizokuzaa heri zingemwagwa chooni tu
 
Ujinga mtupu,watupe ripoti ya watu waliotekwa kwanza,na wauaji wa Kibao ni kina nani ndio tuendelee na mengine,vinginevyo ni kutafuta sifa tu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hiii ndio taarifa ya jeshi la Polisi Nchini.ikitoa onyo kali kwelikweli kwa chama cha siasa ambacho baada ya wagombea wake kukatwa katika hatua za uteuzi kinapanga kuwahamasisha wafuasi na wanachama wake kufanya vurugu, kuharibu ofisi za serikali na uharibifu mwingine mbalimbali.

Ambapo jeshi hilo la Polisi Nchini Limetaka chama ambacho hakijaridhishwa na mchakato wa uteuzi kifuate sheria,kanuni,taratibu na miongozi mbalimbali kama inavyoelekezwa na sheria za uchaguzi wa serikali za mitaa.

Jeshi hilo ambalo linatajwa kuwa jeshi bora katika ukanda huu wa Afrika mashariki na kusini mwa jangwa la Sahara.limesema kuwa halitasita kuchukua hatua kali sana kwa yeyote yule atakaye kiuka taratibu na sheria kwa kufanya vuruguView attachment 3147340

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Onyo kWa Wana ccm watakaotahiriwa
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hiii ndio taarifa ya jeshi la Polisi Nchini.ikitoa onyo kali kwelikweli kwa chama cha siasa ambacho baada ya wagombea wake kukatwa katika hatua za uteuzi kinapanga kuwahamasisha wafuasi na wanachama wake kufanya vurugu, kuharibu ofisi za serikali na uharibifu mwingine mbalimbali.

Ambapo jeshi hilo la Polisi Nchini Limetaka chama ambacho hakijaridhishwa na mchakato wa uteuzi kifuate sheria,kanuni,taratibu na miongozi mbalimbali kama inavyoelekezwa na sheria za uchaguzi wa serikali za mitaa.

Jeshi hilo ambalo linatajwa kuwa jeshi bora katika ukanda huu wa Afrika mashariki na kusini mwa jangwa la Sahara.limesema kuwa halitasita kuchukua hatua kali sana kwa yeyote yule atakaye kiuka taratibu na sheria kwa kufanya vuruguView attachment 3147340

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Lucas , ukimuona mtu anadhulumu muonee huruma sana na usimuone mjanja, furaha ndogo Majuto makubwa twendako
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hiii ndio taarifa ya jeshi la Polisi Nchini.ikitoa onyo kali kwelikweli kwa chama cha siasa ambacho baada ya wagombea wake kukatwa katika hatua za uteuzi kinapanga kuwahamasisha wafuasi na wanachama wake kufanya vurugu, kuharibu ofisi za serikali na uharibifu mwingine mbalimbali.

Ambapo jeshi hilo la Polisi Nchini Limetaka chama ambacho hakijaridhishwa na mchakato wa uteuzi kifuate sheria,kanuni,taratibu na miongozi mbalimbali kama inavyoelekezwa na sheria za uchaguzi wa serikali za mitaa.

Jeshi hilo ambalo linatajwa kuwa jeshi bora katika ukanda huu wa Afrika mashariki na kusini mwa jangwa la Sahara.limesema kuwa halitasita kuchukua hatua kali sana kwa yeyote yule atakaye kiuka taratibu na sheria kwa kufanya vuruguView attachment 3147340

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Katika Qur'an, kuna aya zinazohimiza kufanya haki na uadilifu kwa watu wote, hata kwa wale ambao huenda huna upendo au uhusiano mzuri nao. Katika Surat Al-Ma'idah (5:8), Allah anasema:

"Enyi mlioamini! Kuweni wasimamizi wa uadilifu kwa ajili ya Allah, mkishuhudia kwa uadilifu. Wala chuki ya watu isikufanyeni kutotenda uadilifu. Tendeni uadilifu; huo ndio unaokurubisheni mno na uchamungu. Na mcheni Allah; hakika Allah ni Mwenye khabari za yote myatendayo."

Aya hii inasisitiza umuhimu wa kutenda haki na kuwa na uadilifu, hata kama kuna chuki au kutopendana. Haki ni lazima itendeke kwa kila mtu ili kufikia uchamungu na radhi za Allah.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hiii ndio taarifa ya jeshi la Polisi Nchini.ikitoa onyo kali kwelikweli kwa chama cha siasa ambacho baada ya wagombea wake kukatwa katika hatua za uteuzi kinapanga kuwahamasisha wafuasi na wanachama wake kufanya vurugu, kuharibu ofisi za serikali na uharibifu mwingine mbalimbali.

Ambapo jeshi hilo la Polisi Nchini Limetaka chama ambacho hakijaridhishwa na mchakato wa uteuzi kifuate sheria,kanuni,taratibu na miongozi mbalimbali kama inavyoelekezwa na sheria za uchaguzi wa serikali za mitaa.

Jeshi hilo ambalo linatajwa kuwa jeshi bora katika ukanda huu wa Afrika mashariki na kusini mwa jangwa la Sahara.limesema kuwa halitasita kuchukua hatua kali sana kwa yeyote yule atakaye kiuka taratibu na sheria kwa kufanya vuruguView attachment 3147340

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Takukuru wamefurushwa kama mbwa koko huko Arusha waende kuwasaidia!
 
Bado unafuatilia na kushiriki mijadala ya kisiasa ?si ulisema umeacha siasa?
Katika Qur'an, kuna aya zinazohimiza kufanya haki na uadilifu kwa watu wote, hata kwa wale ambao huenda huna upendo au uhusiano mzuri nao. Katika Surat Al-Ma'idah (5:8), Allah anasema:

"Enyi mlioamini! Kuweni wasimamizi wa uadilifu kwa ajili ya Allah, mkishuhudia kwa uadilifu. Wala chuki ya watu isikufanyeni kutotenda uadilifu. Tendeni uadilifu; huo ndio unaokurubisheni mno na uchamungu. Na mcheni Allah; hakika Allah ni Mwenye khabari za yote myatendayo."

Aya hii inasisitiza umuhimu wa kutenda haki na kuwa na uadilifu, hata kama kuna chuki au kutopendana. Haki ni lazima itendeke kwa kila mtu ili kufikia uchamungu na radhi za Allah.
NAKUPENI MANENO MAZURI AMBAPO KTK VIKAO VYENU VYA SIASA HAMPEANI
 
Back
Top Bottom