Pre GE2025 Polisi kushindwa kuchukua hatua dhidi ya aliyekuwa DC wa Longido, wanatupatia ujumbe gani?

Pre GE2025 Polisi kushindwa kuchukua hatua dhidi ya aliyekuwa DC wa Longido, wanatupatia ujumbe gani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Amekiri hadharani kuwa alihusika kuharibu uchaguzi 2020 na alihusika pia ktk mambo ya uhalifu wa maporini kwenye maeneo tofauti tofauti hapa nchini.

Sasa kwann hakamatwi ili atoe maelezo ya kina ya maovu aliyoyafanya na ikibidi afunguliwe mashitaka??

Najaribu kiwaza kwa sauti tu, ingelikuwa ni kiongozi wa upinzani ameyasema maneno yale, hivi sasa angekuwa hajafuatwa na chopa kweli?

Malisa na Jacob walibebwa mzobemzobe kwa chopa kutoka Dar hadi Arusha kwa kutoa taarifa tu za kupotea kwa kijana.

My take:
Jeshi la polisi lisiwafanye ccm kuwa wako juu ya sheria. Uonevu ukizidi watasababisha watanzania wakinukishe.
 
Si mpaka wapelekewe mashtaka, au unataka DPP akafungue shitaka?
 
Wanawachezea akili watz.
Kura waibe na maigizo wafanye wao.
Halafu wanatokea chawa wanaanza kumwaga sifa na kujipendekeza.
Nchi ina ujinga wa SGR wa kumwaga.
 
Kwahiyo hata uchunguzi hakuna?!
Wanachunguza nini, hakuna aliyelalamika. Na uzuri alisema ni kwenye 'mapori'. Ni generic term hakuwa specific hivyo hata kumfungulia kesi ushahidi unaweza ukakosekana.
 
Wanachunguza nini, hakuna aliyelalamika. Na uzuri alisema ni kwenye 'mapori'. Ni generic term hakuwa specific hivyo hata kumfungulia kesi ushahidi unaweza ukakosekana.
Nadhani tuyaache tu, kwasababu WIZI WA KURA SIO JINAI HAPA TANZANIA.
 
Back
Top Bottom