Tetesi: Polisi Mara: Vincent Nyerere anakuja kuratibu vurugu za UKUTA, tutamshughulikia

Tetesi: Polisi Mara: Vincent Nyerere anakuja kuratibu vurugu za UKUTA, tutamshughulikia

Hivi kweli nyie mnaojua ukweli wa mambo mniambie huyu mkuu na serikali yake wananiogopa ni nini? Kuanza walikuwa wale watoto wanaotaka berveacher leo wall na tena Vincent. Kulikoni? Isije kuwa ile story ya James Hadley Chase ya the guilty are always afraid unakuja kwa vitendo? Kwani hawawezi kuongea nao tu yakaisha? Kama hawana hekima si bora waende kwenye makanisa ya kiroho wakafundishwe jinsi na namna ya kumtafuta na hatimaye wamtumie Roho Mtakatifu? Mbona simple tu? Luna mzee gamanywa pale; kakibe; mzee as upako; gwajima au kama huyo hamumutaki kwa kuwa man kesi naye njiani K wangu na mimi ni mchungaji mdogo
 
Kuna haja ya kulifumua upya jeshi la polisi , mfumo wake wa ajira ubadilishwe .
 
polisi wanahangaika na ukuta wakati mtaani wizi umekithiri sana..........tunaibiwa sana kila siku ni vilio mtaani. waje wapambane na vibaka wa mtaani.
 
Hivi wakimurishwa hawawezi kutafakari? Kwa hali hii Ikitokea kamanda wa Chadema anaoa au kuolewa hata msafara wake wa harusi utazuiriwa!

Ila tuache polisi wafanye kazi yao ya kutulinda! Angalizo - wasitupige! Mlinzi haruhusiwi kumpiga boss wake!
 
ukutaa itapita kama m4c very smooth
Hakuna mkakati wa Chadema unaopita bila kuacha impact kwenye jamii labda wa Kilimo kwanza, maisha bora kwa kila mtanzania n.k (hayo ya nyinyiemu)
 
Back
Top Bottom