- Thread starter
- #21
Weka picha
Nimeweka video kabisa ndugu ... karibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka picha
Hamna hata kabpicha na sisi matomaso tulio mbali tuamini
Polisi Moro wakiwa na vifaa vyao timamu, yakiwamo yale magari pendwa yenye uwezo kamili wa kuzima moto bali yakitumika kama washawasha wamefanya mazoezi ya kufa mtu Moro:
View: https://m.youtube.com/watch?v=kKIzxrOI-V4
Ni wazi kuwa isingalikuwa taabu kuudhibiti moto ule nq mapema asubuhi Kariakoo, laiti hata kama yangetumika kama yalivyo na machache tu.
Kama ilivyokuwa wale wa zoezi la usafi siku ya operation ukuta, hawa wamejumuisha wakiita vyombo vyote ..
"Bila shaka ni zile tishia nyau zetu kazini."
Izingatiwe jemedali Mwabukusi amekuwa wazi:
"taratibu zote za kisheria zitafuatwa."
Ya kuwa 7 October kutakuwa na tamko rasmi.
Kasisitiza Mwabukusi watanzania siyo waoga. Ya kuwa mwenye kuwadhania vinginevyo na akaeleke jiwe.
Viva Mwabukusi.
Mlipo tupo!
View attachment 2769804
YANGA imeshinda bao ngapi?😁
Polisi Moro wakiwa na vifaa vyao timamu, yakiwamo yale magari pendwa yenye uwezo kamili wa kuzima moto bali yakitumika kama washawasha wamefanya mazoezi ya kufa mtu Moro:
View: https://m.youtube.com/watch?v=kKIzxrOI-V4
Ni wazi kuwa isingalikuwa taabu kuudhibiti moto ule nq mapema asubuhi Kariakoo, laiti hata kama yangetumika kama yalivyo na machache tu.
Kama ilivyokuwa wale wa zoezi la usafi siku ya operation ukuta, hawa wamejumuisha wakiita vyombo vyote ..
"Bila shaka ni zile tishia nyau zetu kazini."
Izingatiwe jemedali Mwabukusi amekuwa wazi:
"taratibu zote za kisheria zitafuatwa."
Ya kuwa 7 October kutakuwa na tamko rasmi.
Kasisitiza Mwabukusi watanzania siyo waoga. Ya kuwa mwenye kuwadhania vinginevyo na akaeleke jiwe.
Viva Mwabukusi.
Mlipo tupo!
Polisi wanabeba hadi RPG?! Ya nini?!?!
🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Polisi Moro wakiwa na vifaa vyao timamu, yakiwamo yale magari pendwa yenye uwezo kamili wa kuzima moto bali yakitumika kama washawasha wamefanya mazoezi ya kufa mtu Moro:
View: https://m.youtube.com/watch?v=kKIzxrOI-V4
Ni wazi kuwa isingalikuwa taabu kuudhibiti moto ule na mapema asubuhi Kariakoo, laiti hata kama yangetumika kama yalivyo na machache yao tu. Wala si mengi.
Kama ilivyokuwa kwa wale wa zoezi la usafi enzi za operation ukuta, hawa wamejumuisha wakiviita pamoja na vyombo vile vingine vyote ..
"Bila shaka ni zile tishia nyau zetu kazini sasa."
Izingatiwe jemedali Mwabukusi amekuwa wazi:
"taratibu zote za kisheria zitafuatwa."
Ya kuwa 7 October kutakuwa na tamko rasmi.
Kasisitiza Mwabukusi watanzania siyo waoga. Ya kuwa mwenye kuwadhania vinginevyo na akaeleke jiwe.
Viva Mwabukusi.
Mlipo tupo!
Polisi Moro wakiwa na vifaa vyao timamu, yakiwamo yale magari pendwa yenye uwezo kamili wa kuzima moto bali yakitumika kama washawasha wamefanya mazoezi ya kufa mtu Moro:
View: https://m.youtube.com/watch?v=kKIzxrOI-V4
Ni wazi kuwa isingalikuwa taabu kuudhibiti moto ule na mapema asubuhi Kariakoo, laiti hata kama yangetumika kama yalivyo na machache yao tu. Wala si mengi.
Kama ilivyokuwa kwa wale wa zoezi la usafi enzi za operation ukuta, hawa wamejumuisha wakiviita pamoja na vyombo vile vingine vyote ..
"Bila shaka ni zile tishia nyau zetu kazini sasa."
Izingatiwe jemedali Mwabukusi amekuwa wazi:
"taratibu zote za kisheria zitafuatwa."
Ya kuwa 7 October kutakuwa na tamko rasmi.
Kasisitiza Mwabukusi watanzania siyo waoga. Ya kuwa mwenye kuwadhania vinginevyo na akaeleke jiwe.
Viva Mwabukusi.
Mlipo tupo!
Labda wameiandaa rasmi kwa ajili ya Dokta Slaa.Polisi wanabeba hadi RPG?! Ya nini?!?!
🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Mheshimu sana mtu anayetetea anachokijua!...Sio wale wengine wera wera kibao.Duuuh! kwa hali hiyo Mwambukusi inaonyesha yuko very serious.... kwakweli jamaa ni consistent sana,harudi nyuma.
Haitazuia chochote! Wananchi tumechoka na huu utawala! Hawana uwezo wa kuuza wananchi wote.
Mheshimu sana mtu anayetetea anachokijua!...Sio wale wengine wera wera kibao.
Si wamesema kila mwisho wa mwezi?