Polisi Moro na mazoezi ya kufa mtu, ni yale Maandamano yetu?


YANGA imeshinda bao ngapi?😁
 
Shida police tz ,hawajawahi kutana na mtiti wa wananchi walioamua, na ni kwa bahati tu, ila siku ikifika , mikwara yote inapotea ghafla
 
chadema ni wakushusha bega kabla hawajakomaa
wasituharibie utulivu tulio nao kuelekea uchumi wa blue
 
Polisi wanabeba hadi RPG?! Ya nini?!?!
πŸ™ŒπŸΏπŸ™ŒπŸΏπŸ™ŒπŸΏ
 
Polisi wanabeba hadi RPG?! Ya nini?!?!
πŸ™ŒπŸΏπŸ™ŒπŸΏπŸ™ŒπŸΏ

Hadi mawasha washa - kututishia ngozi ya Simba.

Hakuna kurudi nyuma kama ya ukuta.
 
ni kwaajili ya ma mbwa Koko.

na watapata tabu sanaaa....
 
Haitazuia chochote! Wananchi tumechoka na huu utawala! Hawana uwezo wa kuuza wananchi wote.
 
Duuuh! kwa hali hiyo Mwambukusi inaonyesha yuko very serious.... kwakweli jamaa ni consistent sana,harudi nyuma.
Mheshimu sana mtu anayetetea anachokijua!...Sio wale wengine wera wera kibao.
 
Mheshimu sana mtu anayetetea anachokijua!...Sio wale wengine wera wera kibao.

Hili ni pigo kubwa sana kwa vile vyama saka ubunge na ruzuku vikiwamo vya akina imhotep.

Wameshindwa kuelewa adui au rafiki ni yupi na lini.

Kulikoni kumchukia Mwabukusi, Slaa, LIssu au Mdude kwenye harakati hIzi?

Maajabu ya Mussa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…