Polisi Moro na mazoezi ya kufa mtu, ni yale Maandamano yetu?

Mazoezi hayatabadili kuzaliwa upya kwa Tanganyika
 
Hawa wapelekwe kwa alshabaab waache kudekadeka hapa kwa kubebwa na rais na mahakama. Hivi kweli unabeba RPG eti unaonesha uwezo wa kupambana na wahalifu?! Kwamba mhalifuni adui sio mkengeufu wa sheria anayestahili kupelekwa mahakamani isipokuwa auawe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…