Taliban ni jamii iliyoamua kuishi kulingana na tamaduni na dini yao, hawana shida kabisa. Ndiyo maana USA baada ya kumuua Osama wakawa wamemaliza kazi. Taliban kosa lao lilikuwa kutumia dini kuua watu, mbona Oman etc ni nchi za kiislsm na wapo poa tu.Mfano wale taliban unafikiri wanafia dini gani wale?
Watu wengi ni waoga ila haya mambo ni kama ugonjwa wa saratani. Ukishakuingilia mwilini lazima ujaribu kuutibu hata kama matibabu yake yanakuletea maumivu, wakati mwingine mpaka viungo vya mwili inabidi vikatwe ili mgonjwa apone, na yanachukua muda mrefu. Lakini usipojaribu kuutibu, huo ugonjwa utasambaa mwilini na mwisho wake utakuua.Sasa kama ni mfia dini ulitaka wamuiteje labda mkuu.
Mfia dini sio!?.. Zile heineken zilikuwa juice na zile totoz ilikuwa migomba ile...?Nimesoma maelezo ya DCI kwenye taarifa iliyoandikwa kwenye ukurasa wa Mwananchi news kua Marehemu Hamza alikua "Gaidi mfia dini" , hivi ni kweli kabisa ofisi ya DCI imeshindwa kupima kabisa uzito wa kauli hii? Kwa maana hiyo wafia dini wote ni magaidi?
Hamza alikua muumini wa dini ya kiislam kwa taarifa za majirani na familia yake, DCI awaambie umma wa waislam "Gaidi mfia dini" ni nani? Awaeleze watanzania ni dini gani inayotuma watu kua magaidi? Ugaidi wa Hamza wameuhusisha vipi na dini yake?
Hii chuki ambayo mnataka kuiingiza kwenye imani za watu ni uchokozi mtu na siyo sawa.Mnapaswa kuwaomba radhi waumini wa dini ya kiislam ambao kimsingi siyo wao waliomtuma Hamza kufanya aliyoyafanya.
Kwani polisi sio Raia?Magaidi huwa wanauwa raia. Wakiwa jeshi ama polisi, huwa ni kwasababu wanawazuia wasitekeleze ni yao ya kuuwa raia. Hamza hakuwa na nia ya kuuwa raia.
Oman nchi ya kiislamu kakuambia nani? Omani ni wapingaji wa huo uislam labda elimu yako tu haiwez kuwaelewa....! Oman dola inayotawala pale wanaitakid qoran tukufu ni kiumbe kimeumbwa...! Hili linawatoa kabisa kwenye uislamuTaliban ni jamii iliyoamua kuishi kulingana na tamaduni na dini yao, hawana shida kabisa. Ndiyo maana USA baada ya kumuua Osama wakawa wamemaliza kazi. Taliban kosa lao lilikuwa kutumia dini kuua watu, mbona Oman etc ni nchi za kiislsm na wapo poa tu.
Wanafiki hao watakazia hayo ya PolisiNi matumaini yangu kusikia kauli kutoka BAKWATA
Kua na uhusiano na ndugu zako au mawasiliano nao ndo kua na tabia kama zao? Very funny,may the Almighty lead the world tuwe tunatumia akili alizotugaia bure tuchanganue vitu instead of kufuata mkumbo au for hate.Wasomali wanao ishi nchini inapaswa wafuatiliwe nyenendo.zao maana baadhi yao wana uhusiano au mawasiliano na ndugu zao Alshababu wa Somalia.
Hamza ni kielelezo naamini wapo wengine pia wenye tabia kama za Hamza.
Naona unajaribu kupaka kinyesi perfume.Wamesema mfia dini hawajataja dini
Kila mtu ana dini yake ya kibinafsi hamza alikuwa na dini yake ya kibinafsi yenye tafsiri anayoijua yeye
Kama ni uislamu alikuwa na wa kwake wa tafsiri yake aijuaye mwenyewe .Hiyo dini yake ndio kaifia
Polisi wako sahihi kabisa
Hamza ni ushahidi tosha.Kua na uhusiano na ndugu zako au mawasiliano nao ndo kua na tabia kama zao? Very funny,may the Almighty lead the world tuwe tunatumia akili alizotugaia bure tuchanganue vitu instead of kufuata mkumbo au for hate.
Ni matumaini yangu kusikia kauli kutoka BAKWATA
Ngoja Shelhk Ponda Issa aje afafanueNimesoma maelezo ya DCI kwenye taarifa iliyoandikwa kwenye ukurasa wa Mwananchi news kua Marehemu Hamza alikua "Gaidi mfia dini" , hivi ni kweli kabisa ofisi ya DCI imeshindwa kupima kabisa uzito wa kauli hii? Kwa maana hiyo wafia dini wote ni magaidi?
Hamza alikua muumini wa dini ya kiislam kwa taarifa za majirani na familia yake, DCI awaambie umma wa waislam "Gaidi mfia dini" ni nani? Awaeleze watanzania ni dini gani inayotuma watu kua magaidi? Ugaidi wa Hamza wameuhusisha vipi na dini yake?
Hii chuki ambayo mnataka kuiingiza kwenye imani za watu ni uchokozi mtu na siyo sawa.Mnapaswa kuwaomba radhi waumini wa dini ya kiislam ambao kimsingi siyo wao waliomtuma Hamza kufanya aliyoyafanya.
Wasomali wote ni wana CCM ndiyo shida ilipoHamza ni ushahidi tosha.
Hamza alikuwa na ndugu na marafiki huko kwao Somalia na maeneo mengime hatujui aliwaambukiza kwa kiasi gani vitendo vya kigaidi, hivyo ni muhimu sana kufuatilia nyenendo za wasomali popote pale walipo.
Hapo maeneo ya K.Koo wamejaa kama njugu na wengine mipango yao haieleweki, kila kukicha idadi yao inaongezeka na shughuli zao hazieleweki.
Na ndo hapo inapokuja point ya mtu anapoamua kuishi maisha ya aina Fulani haimaanishi kwamba eti dini anayoifuata waumini wake wote wako kama yeye,kusema uislam na waislam wote kwa matendo ya baadhi yao siyo sawa,watu waache chuki na kutumika, smh.Taliban ni jamii iliyoamua kuishi kulingana na tamaduni na dini yao, hawana shida kabisa. Ndiyo maana USA baada ya kumuua Osama wakawa wamemaliza kazi. Taliban kosa lao lilikuwa kutumia dini kuua watu, mbona Oman etc ni nchi za kiislsm na wapo poa tu.
Gaidi ni Gaidi tu haijalishi, anaweza akawa mwana CCM au Chadema, anaweza kuwa mwisilamu au Mkristo au anaweza asiwe na dini wala chama lazima ashughulikiwe kikamilifu.Wasomali wote ni wana CCM ndiyo shida ilipo
Waguse uone moto mkuuGaidi ni Gaidi tu haijalishi anaweza akawa mwana CCM au Chadema, anaweza kuwa mwisilamu au Mkristo au anaweza asiwe na dini wala chama lazima ashughulikiwe kikamilifu.
Wasomali ambao Shughuli zao zinatia mashaka lazima wafuatiliwe na wachunguzwe kwa karibu kwa usalama wa Taifa letu.
You are already brainwashed huwezi kukubaliana na facts,kama alikua gaidi mbona hakuua wananchi wote aliua polisi tu? Gaidi hua anachagua wa kuua? hao wasomali kujazana kwao kariakoo ndo ushahidi ni magaidi au unawajua kiundani mpaka useme shughuli zao hazieleweki? Hamza hakua sawa kuua polisi lakini it doesn't mean ndo dhulma aliyofanyiwa ni sawa au ndo he should be targeted as gaidi,tuseme kweli,tuache double standards na religion hate,try love,hate will destroy you.Hamza ni ushahidi tosha.
Hamza alikuwa na ndugu na marafiki huko kwao Somalia na maeneo mengime hatujui aliwaambukiza kwa kiasi gani vitendo vya kigaidi, hivyo ni muhimu sana kufuatilia nyenendo za wasomali popote pale walipo.
Hapo maeneo ya K.Koo wamejaa kama njugu na wengine mipango yao haieleweki, kila kukicha idadi yao inaongezeka na shughuli zao hazieleweki.