Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hao mnaopanga kuwakamata hawajaanza leo kuzungumza kuhusu hela za Abdul, kwanini leo?
Mnataka kuvuruga uchaguzi huo ili iweje, na kwa faida ya nani?
Lengo lenu ni kuchafua upande mmoja ili ionekane wanatumia dola, Hatutaki huo ujinga, Tafadharini sana, Acheni hayo mambo, Watu wameanza kutukana muda mrefu mno lakini mliwaangalia tu huku mkikenua meno, Why Now?
Tumewastukia kirahisi sana!
Mnataka kuvuruga uchaguzi huo ili iweje, na kwa faida ya nani?
Lengo lenu ni kuchafua upande mmoja ili ionekane wanatumia dola, Hatutaki huo ujinga, Tafadharini sana, Acheni hayo mambo, Watu wameanza kutukana muda mrefu mno lakini mliwaangalia tu huku mkikenua meno, Why Now?
Tumewastukia kirahisi sana!