Polisi msithubutu kuvuruga Uchaguzi wa Viongozi wa CHADEMA kwa visingizio vya Uchochezi, hamtaeleweka na yeyote

Polisi msithubutu kuvuruga Uchaguzi wa Viongozi wa CHADEMA kwa visingizio vya Uchochezi, hamtaeleweka na yeyote

Hao mnaopanga kuwakamata hawajaanza leo kuzungumza kuhusu hela za Abdul, kwanini leo?

Mnataka kuvuruga uchaguzi huo ili iweje, na kwa faida ya nani?

Lengo lenu ni kuchafua upande mmoja ili ionekane wanatumia dola, Hatutaki huo ujinga, Tafadharini sana, Acheni hayo mambo, Watu wameanza kutukana muda mrefu mno lakini mliwaangalia tu huku mkikenua meno, Why Now?

Tumewastukia kirahisi sana!
Gentleman,
kwahiyo timu yenu mmebaki na matusi na kutukana tu? halafu watukanaji wakuu ndio wanakamatwa au sijaelewa?🐒
 
Hao mnaopanga kuwakamata hawajaanza leo kuzungumza kuhusu hela za Abdul, kwanini leo?

Mnataka kuvuruga uchaguzi huo ili iweje, na kwa faida ya nani?

Lengo lenu ni kuchafua upande mmoja ili ionekane wanatumia dola, Hatutaki huo ujinga, Tafadharini sana, Acheni hayo mambo, Watu wameanza kutukana muda mrefu mno lakini mliwaangalia tu huku mkikenua meno, Why Now?

Tumewastukia kirahisi sana!
Naunga mkono hoja.
 
Hao mnaopanga kuwakamata hawajaanza leo kuzungumza kuhusu hela za Abdul, kwanini leo?

Mnataka kuvuruga uchaguzi huo ili iweje, na kwa faida ya nani?

Lengo lenu ni kuchafua upande mmoja ili ionekane wanatumia dola, Hatutaki huo ujinga, Tafadharini sana, Acheni hayo mambo, Watu wameanza kutukana muda mrefu mno lakini mliwaangalia tu huku mkikenua meno, Why Now?

Tumewastukia kirahisi sana!
Hayo matusi ni vizuri ukayaweka hadharani tuyafahamu.
Maana hapa tz mtu akiambiwa ukweli anasema anatukanwa,anataka aambiwe kwa kumpambapamba.
Huu mtego wa kijinga naona na wewe unauingia. Unataka kuwa kama wale machawa wa ccm.
 
Back
Top Bottom