Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Wanasema ni kusambaza taarifa za uongo kwenye mtandao wa XErythrocyte Slaa kosa lake ni lipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasema ni kusambaza taarifa za uongo kwenye mtandao wa XErythrocyte Slaa kosa lake ni lipi?
Hakuna namna Mzee Mbowe ni lazima asaidiweHuu ujinga wako ndiyo mkenge ambao polisi wanataka kuaminisha wajinga
Bado anayo kadi ya chademaDr slaa ni chadema? Ccm
Gentleman,Hao mnaopanga kuwakamata hawajaanza leo kuzungumza kuhusu hela za Abdul, kwanini leo?
Mnataka kuvuruga uchaguzi huo ili iweje, na kwa faida ya nani?
Lengo lenu ni kuchafua upande mmoja ili ionekane wanatumia dola, Hatutaki huo ujinga, Tafadharini sana, Acheni hayo mambo, Watu wameanza kutukana muda mrefu mno lakini mliwaangalia tu huku mkikenua meno, Why Now?
Tumewastukia kirahisi sana!
Naunga mkono hoja.Hao mnaopanga kuwakamata hawajaanza leo kuzungumza kuhusu hela za Abdul, kwanini leo?
Mnataka kuvuruga uchaguzi huo ili iweje, na kwa faida ya nani?
Lengo lenu ni kuchafua upande mmoja ili ionekane wanatumia dola, Hatutaki huo ujinga, Tafadharini sana, Acheni hayo mambo, Watu wameanza kutukana muda mrefu mno lakini mliwaangalia tu huku mkikenua meno, Why Now?
Tumewastukia kirahisi sana!
noted nimesoma....... kuna mahali nimesoma mambo ya abdul. Nahofia na Lisu anaweza kuface the same fate! if this is o what next?Wanasema ni kusambaza taarifa za uongo kwenye mtandao wa X
Uchaguzi hautafanyika.Akamatwe na Lissu aje aachiwe tarehe 10/02/2025!
Manjagata acha hizo, Mhola ahane ngalu?Akamatwe na Lissu aje aachiwe tarehe 10/02/2025!
Manjagata acha hizo, Mhola ahane ngalu?Akamatwe na Lissu aje aachiwe tarehe 10/02/2025!
Kitaa kitachafukwa, wasithubutu!!!!Akamatwe na Lissu aje aachiwe tarehe 10/02/2025!
Sio kwamba MUST GO 😊Mbowe lazima asaidiwe 🐼
Kuna watu wa kukinukisha basi? Watoke wapi?Kitaa kitachafukwa, wasithubutu!!!!
Mhola sana mzehe! Lissu ameleta taharuki isiyokuwana msingi akamatwe tu!M
Manjagata acha hizo, Mhola ahane ngalu?
Unazijua hila za maccm wewe? Anakamatwa na uchaguzi uko pale pale! Akija kurudi anakuta watu walishamaliza uchaguz!Uchaguzi hautafanyika.
Au hujui?.
hutai bwana wako asaidiwe? lissu hakutambui shauriyako mtete mbowe wako kama mwanzoHuu ujinga wako ndiyo mkenge ambao polisi wanataka kuaminisha wajinga
Au siyo legend asaidiwe asiadhirishweMbowe lazima asaidiwe 🐼
Yaani wewe mchaga ndio CHADEMA?Mbowe bado wana Chadema tunamhitaji sana, Tundu Lissu asubiri kwanza, ajifunze busara na hekima ya uongozi..!!
Hayo matusi ni vizuri ukayaweka hadharani tuyafahamu.Hao mnaopanga kuwakamata hawajaanza leo kuzungumza kuhusu hela za Abdul, kwanini leo?
Mnataka kuvuruga uchaguzi huo ili iweje, na kwa faida ya nani?
Lengo lenu ni kuchafua upande mmoja ili ionekane wanatumia dola, Hatutaki huo ujinga, Tafadharini sana, Acheni hayo mambo, Watu wameanza kutukana muda mrefu mno lakini mliwaangalia tu huku mkikenua meno, Why Now?
Tumewastukia kirahisi sana!
Busara ni kuuza chama kwa ccm?Mbowe bado wana Chadema tunamhitaji sana, Tundu Lissu asubiri kwanza, ajifunze busara na hekima ya uongozi..!!