Polisi msithubutu kuvuruga Uchaguzi wa Viongozi wa CHADEMA kwa visingizio vya Uchochezi, hamtaeleweka na yeyote

Polisi msithubutu kuvuruga Uchaguzi wa Viongozi wa CHADEMA kwa visingizio vya Uchochezi, hamtaeleweka na yeyote

Hao mnaopanga kuwakamata hawajaanza leo kuzungumza kuhusu hela za Abdul, kwanini leo?

Mnataka kuvuruga uchaguzi huo ili iweje, na kwa faida ya nani?

Lengo lenu ni kuchafua upande mmoja ili ionekane wanatumia dola, Hatutaki huo ujinga, Tafadharini sana, Acheni hayo mambo, Watu wameanza kutukana muda mrefu mno lakini mliwaangalia tu huku mkikenua meno, Why Now?

Tumewastukia kirahisi sana!
Akina chiembe,Tlaatlaah,Magonjwa,Lucas na wafadhili wao wameshaanza hizo chokochoko.Hivyo nimuhimu kuendelea kuona nyendo na mawazo yao kabla yamuda kupita mwingi.
 
Huu ujinga wako ndiyo mkenge ambao polisi wanataka kuaminisha wajinga
Polisi wanapendelea upande wa mbowe. Mbowe atashinda uchaguzi kuwa mwenyekiti wa chadema.
Polisi wamefanikiwa kuzima mijadala ya mitandaoni.

Mimi kuanzia tarehe 13 mwezi huu ntakuwa mtu mkimya,mpole na sitafuatilia wala kujihusisha na mjadala wowote mitandaoni , nitaanza safari ya kuwa busy kutimiza malengo yangu binafsi kwa ajili ya mwaka 2025.
 
Hao mnaopanga kuwakamata hawajaanza leo kuzungumza kuhusu hela za Abdul, kwanini leo?

Mnataka kuvuruga uchaguzi huo ili iweje, na kwa faida ya nani?

Lengo lenu ni kuchafua upande mmoja ili ionekane wanatumia dola, Hatutaki huo ujinga, Tafadharini sana, Acheni hayo mambo, Watu wameanza kutukana muda mrefu mno lakini mliwaangalia tu huku mkikenua meno, Why Now?

Tumewastukia kirahisi sana!
Wakifanya hivyo utawafanya nini.

Wacha wakamatwe waungwe na babu Dr slaa kunyea ndoo
 
Hao mnaopanga kuwakamata hawajaanza leo kuzungumza kuhusu hela za Abdul, kwanini leo?

Mnataka kuvuruga uchaguzi huo ili iweje, na kwa faida ya nani?

Lengo lenu ni kuchafua upande mmoja ili ionekane wanatumia dola, Hatutaki huo ujinga, Tafadharini sana, Acheni hayo mambo, Watu wameanza kutukana muda mrefu mno lakini mliwaangalia tu huku mkikenua meno, Why Now?

Tumewastukia kirahisi sana!
Mimi ni chadema, chadema sana, chadema damu. Matukio ya hivi karibuni yanatia mashaka integrity ya watia nia! kama wanaweza kuibua mambo ya kihuni kuhusu rushwa ambayo hayana ushahidi wowote, basi wacha wawakamate....wacha wawakamate! Why Lisu is doing all that? Kwanini usema kitu ambacho huna ushahidi nacho? Rushwa ni kumpaka mtu matope yasiyofutika! Alisema Mbowe amehongwa V8 2.. na serikali kumbe alizinunu US embasy auction.... sasa huyo mtu kweli ni wa kuonea huruma?

Pili uko sahi labisa akikamatwa Lisu (ambaye ameadvocate rushwa ya Abdul), italeta picha mbaya lakini yenye legal justification!

Bottomline, waachane na biashara hiyo kwa sasa uchaguzi upite!
 
Hao mnaopanga kuwakamata hawajaanza leo kuzungumza kuhusu hela za Abdul, kwanini leo?

Mnataka kuvuruga uchaguzi huo ili iweje, na kwa faida ya nani?

Lengo lenu ni kuchafua upande mmoja ili ionekane wanatumia dola, Hatutaki huo ujinga, Tafadharini sana, Acheni hayo mambo, Watu wameanza kutukana muda mrefu mno lakini mliwaangalia tu huku mkikenua meno, Why Now?

Tumewastukia kirahisi sana!
Erythrocyte Slaa kosa lake ni lipi?
 
Hao mnaopanga kuwakamata hawajaanza leo kuzungumza kuhusu hela za Abdul, kwanini leo?

Mnataka kuvuruga uchaguzi huo ili iweje, na kwa faida ya nani?

Lengo lenu ni kuchafua upande mmoja ili ionekane wanatumia dola, Hatutaki huo ujinga, Tafadharini sana, Acheni hayo mambo, Watu wameanza kutukana muda mrefu mno lakini mliwaangalia tu huku mkikenua meno, Why Now?

Tumewastukia kirahisi sana!
Yaani wewe unanung'unika Dk. Slaa (CCM) kukamatwa eti ataharibu itaharibu uchaguzi wa Chadema? Hii nimeielewa!
 
Hao mnaopanga kuwakamata hawajaanza leo kuzungumza kuhusu hela za Abdul, kwanini leo?

Mnataka kuvuruga uchaguzi huo ili iweje, na kwa faida ya nani?

Lengo lenu ni kuchafua upande mmoja ili ionekane wanatumia dola, Hatutaki huo ujinga, Tafadharini sana, Acheni hayo mambo, Watu wameanza kutukana muda mrefu mno lakini mliwaangalia tu huku mkikenua meno, Why Now?

Tumewastukia kirahisi sana!
Slaa akatoe ushahidi mahakamani
 
Mbowe bado wana Chadema tunamhitaji sana, Tundu Lissu asubiri kwanza, ajifunze busara na hekima ya uongozi..!!
Siku hizi kujinyenyekeza kwa viongozi majizi wa ccm ndio huitwa busara. Lisu hana muda heshima za kinafki.
 
Itakuwa ni dhambi kubwa na mbaya kuwabughudi viongozi wa chadema kipindi hiki kuelekea uchaguzi wao. Habari za abduli na fedha zake kwa lissu si ishu na wananchi hawana impact nazo. Hiyo story ya abdul inapita kwa kasi kama upepo, waache chadema wafanye uchaguzi wao kwa amani
 
Hao mnaopanga kuwakamata hawajaanza leo kuzungumza kuhusu hela za Abdul, kwanini leo?

Mnataka kuvuruga uchaguzi huo ili iweje, na kwa faida ya nani?
Mwaka huu bila Mbowe kusaidiwa na mapolisi ya mamq Abdul hatoboi
 
Back
Top Bottom