Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huu ujinga wako ndiyo mkenge ambao polisi wanataka kuaminisha wajingaMbowe lazima asaidiwe 🐼
Mwambie sultan Mbowe aachie kitu, kitaa hakimuelewiHao mnaopanga kuwakamata hawajaanza leo kuzungumza kuhusu hela za Abdul, kwanini leo?
Mnataka kuvuruga uchaguzi huo ili iweje, na kwa faida ya nani?
Lengo lenu ni kuchafua upande mmoja ili ionekane wanatumia dola, Hatutaki huo ujinga, Tafadharini sana, Acheni hayo mambo, Watu wameanza kutukana muda mrefu mno lakini mliwaangalia tu huku mkikenua meno, Why Now?
Tumewastukia kirahisi sana!
Akamatwe na Lissu aje aachiwe tarehe 10/02/2025!Hao mnaopanga kuwakamata hawajaanza leo kuzungumza kuhusu hela za Abdul, kwanini leo?
Mnataka kuvuruga uchaguzi huo ili iweje, na kwa faida ya nani?
Lengo lenu ni kuchafua upande mmoja ili ionekane wanatumia dola, Hatutaki huo ujinga, Tafadharini sana, Acheni hayo mambo, Watu wameanza kutukana muda mrefu mno lakini mliwaangalia tu huku mkikenua meno, Why Now?
Tumewastukia kirahisi sana!
Kwamba mwamba kazodiwa😂Mbowe lazima asaidiwe 🐼
HatutakubaliAkamatwe na Lissu aje aachiwe tarehe 10/02/2025!
Wakati Mboweists ndicho mnachokililiaHatutakubali
Wewe no ka saliti! Yaani mara hii umetugeuka? Lissu hapati kitu! Mtahama naye akienda CCM?Hatutakubali
uchawa wako ukiuweka pemben utauona ukweli dhahiliHuu ujinga wako ndiyo mkenge ambao polisi wanataka kuaminisha wajinga
Unadhani anaweza Kushinda bila msaada?Huu ujinga wako ndiyo mkenge ambao polisi wanataka kuaminisha wajinga
Dr slaa ni chadema? CcmMbowe lazima asaidiwe 🐼
wewe ni nani huko chadema!Hao mnaopanga kuwakamata hawajaanza leo kuzungumza kuhusu hela za Abdul, kwanini leo?
Mnataka kuvuruga uchaguzi huo ili iweje, na kwa faida ya nani?
Lengo lenu ni kuchafua upande mmoja ili ionekane wanatumia dola, Hatutaki huo ujinga, Tafadharini sana, Acheni hayo mambo, Watu wameanza kutukana muda mrefu mno lakini mliwaangalia tu huku mkikenua meno, Why Now?
Tumewastukia kirahisi sana!
Mtasaidiwa Bwashee 🐼Mbowe bado wana Chadema tunamhitaji sana, Tundu Lissu asubiri kwanza, ajifunze busara na hekima ya uongozi..!!
Kwani Chadema siyo CCM B? 🐼Dr slaa ni chadema? Ccm
Kama anasaidiwa hadi na Mh Kijakazi wa Clouds Hali ni Tete 😂Kwamba mwamba kazodiwa😂