Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jasusi alisema "Sikiliza nina watu wangu serikalini,nina watu ndani ya chama na nina watu ndani ya usalama".Jasusi mbobezi anahitaji akili sana kummaliza,anajua mno mbinu na uwezo wa wanaomsumbua.Eti wanasema Sumu waliopang kumpa
Jasusi Mbobezi kwenye Mahojiano na Kamat ndogo ya Fisiemu Dodoma Ndio Kala Mangalu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo kwenye vikao vyao vya sumu wala hakuwemo!Kuna mtu mmoja hivi wanampangia mkakati wa kumkamata ili asichukue FORM YA URAIS, wampe kesi ya jinai ya KUSUDIO LA KUUA, maana wameona ya uhujumu uchumi na kutakatisha fedha raia tumezizoea kuona wanaompinga jiwe kusukumiwa nazo.
Aliowashauri anawapotosha, wsijaribu hilo wanalotaka kufanya kwa huyo mtu, maana raia wanaweza kuingia mtaani.
Hivi Mambosasa alipataje hiki cheo?Isije kuwa daktari kasema food poisoning..
Yeye kaelewa kawekewa sumu..
M/Mwenyekiti wa CCM, Mzee Philipo Mangula akurwa na dalili za sumu. Sio mwili!. Neno mwili linatumika kwa the deceased!.
P
Kwa umri ule wa uzee food poisoning inaweza kuwa na madhara makubwa sana. Nadhani Daktari aongee mwenyewe sasa.Isije kuwa daktari kasema food poisoning..
Yeye kaelewa kawekewa sumu..
Mkuu waache waropoke kwanza ukweli ukishajulikana watakuja kufuta Comments, tujipe subira tu muda ndio msema kweli.Hayamambo yanahitaji subira jamani so yakukimbilia kutoa maoni
Very Possible ideaKuna mtu mmoja hivi wanampangia mkakati wa kumkamata ili asichukue FORM YA URAIS, wampe kesi ya jinai ya KUSUDIO LA KUUA, maana wameona ya uhujumu uchumi na kutakatisha fedha raia tumezizoea kuona wanaompinga jiwe kusukumiwa nazo.
Aliowashauri anawapotosha, wsijaribu hilo wanalotaka kufanya kwa huyo mtu, maana raia wanaweza kuingia mtaani.
Mkuu mbona wa opposition wamefanyiwa makubwa Kuliko haya huyasema ni hatari Sana kwa afya ya nchi??Hii ni hatari sana kwa afya ya nchi yetu.
Kwahiyo alionja kama imekoleaVizee hivi kwa kupenda kulakula bana. Usikute alidokoa Ubwabwa ulioandaliwa kwa ajili ya Kachero mbobezi.
Na ni huyu huyu alikuwa kwenye kamati ya maadili ya kumkata Laigwan na kuropokaropoka hatutaki rais atakaye kuwa mgonjwa
-NGUSERO-
Kalitakiwa kafe hapohapo kalipooonja kama imekoleaKwahiyo alionja kama imekolea