Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Linatumika kwa MTU aliyekata moto.Mtoa mada, neno mwili sio neno sawia kwa mtu aliye hai!.
P
YesLinatumika kwa MTU aliyekata moto.
Neno fasaha katika huu muktadha ni nini?Mtoa mada, neno mwili sio neno sawia kwa mtu aliye hai!.
P
M/Mwenyekiti wa CCM, Mzee Philipo Mangula akurwa na dalili za sumu. Sio mwili!. Neno mwili linatumika kwa the deceased!.Neno fasaha katika huu muktadha ni nini?
Urais sio makalio wewe kwanba kila mtu ana uwezo wa kuyapata
Bwashee umefura!Mnafiki mkubwa!! Inauma eeh!! Vipi Mdude Nyangali chadema aliyeteswa hakuumia?
Hakuna lolote wale watuhumiwa amefanya nao kazi muda mrefu sana kwa wema bila ugomvi wamehangaika Sana kukinusuru chama, kile anachowanyia sasa hata yeye hakukitegemea kama binadam aliyetimia lazima apate mstuko tu. Mimi ninaamini huo ni mstuko tu kila akifikiria atawaangaliaje? Anapata kizunguzungu anaanguka anazimiaMmmh wote waliokuwa kwenye ule mkutano inapaswa kuwa washukiwa wa kwanza lzm kuna mmoja alihusika
Hili jeshi mahiri haliwezi kushindwa kum baini huyu mshenzi aliyefanya huu ushenzi kwa Polisisiem.Jeshi la polisi litamtoa mtu kafara muda si mrefu.aliwezi mkosa mshukiwa banaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kuna sheria inayo ruhusu apelekwa mahakamani?Tunaomba jeshi la polisi lichukue hatua Kali Sana kwa waliofanya ukatili huu
Nijiwazia nje ya box hapa kipindi kilee lisu alivyopigwa risasi mara upande mwingine yule Mwanajeshi nae akapigwa risasi akalazwa lugalo sijui iliisha vipi atakuwa aliponaCCM mmeanza kumalizana wenyewe...