Polisi: Mzee Philip Mangula amekutwa na sumu mwilini, ni baada ya kufanyiwa uchunguzi

Polisi: Mzee Philip Mangula amekutwa na sumu mwilini, ni baada ya kufanyiwa uchunguzi

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam litachukua hatua kali kwa mtu yeyote atakaye bainika kupanga ,kuratibu na kutekeleza uhalifu huo awe ni mwana familia ,kutoka ndani ya chama ,nje ya chama ,ndani ya nchi au nje ya nchi au awe serikalini au chama chochote cha siasa

Jr[emoji769]
Mshana Jr, je? itakuaje kama mzee Mangula aligusa sumu nyumbani wakati akitaka kuwaua panya wanaomsubua stoo home kwake, kisha akajisahau kunawa vizuri. Atakamtwa yeye au muuza sumu ya panya atasakwa popote alipo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyinyi Mashia hamuishi propaganda dhidi ya Waislamu wa Saudia
Muhammad Salmani apange kumuua Baba yake "Mfalme" habari ivuje ikufikie wewe mbantu wa madongo poromoka asijue Mfalme mwenyewe na wasaidizi wake?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kutokuwa updated na habari za Dunia sio kosa la Pohamba wala la Mashia ni kosa lako binafsi

Habar hizi zipo mpaka Newyork times na Washington post lakin kwa bahati mbaya sio magazeti pendwa kwako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii kesi ina hatari ya kubambikwa Membe au Kinana, kwani hao pamoja na Mzee Mangula wameonyesha pingamizi kubwa kwa mwenye Veto power.

Ndani ya siasa, ni kwaida usemi usemao, TENDA JINAI NA MBANDIKIZE MHASIMU, huku wewe nenda kachukue sifa ya kuwa wa haki na mwema.

Hii ni episodes za ile series ya HOUSE OF CARDS kwa aliyeiona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu nimesema hapo juu ccm yenyewe ni sumu tosha wala wasitafute mchawi
 
Back
Top Bottom