Maboso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 5,164
- 5,762
Kwani ni mara ngapi polisi wanatoa taarifa za uchunguzi uliofanywa na madaktari? Hata mtu akifa katika mazingira ya kutatanisha anayetoa taarifa ni polisi ila postmortem inafanywa na daktari.Jeshi siku hizi linabaini sumu ndani mwili wa mnyama, makubwa haya,
Hamtutoi kwenye ajenda ya kudai time huru