Watu wangapi wanafanyiwa umafia na hamtangazi,mnafanya uchunguzi kimyakimya na taarifa tunazipataga redio mbao tu,ila hii ya Mangula mnaitangaza kabisa kwamba kapewa sumu😂😂,chezo hili anaandaliwa mtu nahisi!lirolimodo awe makini na michezo hii!