Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Teh teh teh 🤣 🤣🤣 🤣 Mzee yuko makini Sana yule teh teh haaa haaaa!Niguse ninuke inamaana alinukisha jikoni yeye akaenda kula kusikojulikana
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh teh teh 🤣 🤣🤣 🤣 Mzee yuko makini Sana yule teh teh haaa haaaa!Niguse ninuke inamaana alinukisha jikoni yeye akaenda kula kusikojulikana
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana kwa sababu ndio taaluma yake
Kushoto kwake akaa mwenyekiti mwenyewe na kulia alikaa Polepole. Mambosasa aanze na hao wawili maana hata JK alitahadharisha vikao vya ccm ukienda msalani beba maji yako ya kunywa.Mmmh wote waliokuwa kwenye ule mkutano inapaswa kuwa washukiwa wa kwanza lzm kuna mmoja alihusika
Double standard, ya mwakyembe hawakututangazia, tulitangaziwa na samweli sita baada ya ya kupukutika nywele zoteKumpa mtu sumu ni kosa la jinai, kwa hiyo ni sahihi taarifa ya uhalifu kutolewa na Polisi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Muhimu kujua aina ya sumu na inachukua muda gani kuwa effective,then watatueleza alikoipata na wahusika aliokuwa nao muda huo. Mazingira yanataka kulazimisha adui mkubwa wa wazi na aliyedhurika na maamuzi ya kikao ila wasisahau jamaa ana akili na utulivu wa kutokukurupuka na amelelewa na mfumo ambao una watu wake,atawaumbua mchana kweupe.
Anzisha topic yako..usiniquote kama ni rais wa yanga..mxiewww