Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa CCM Mangula kupatikana na sumu mwilini mwake siyo jambo la ajabu, jambo la ajabu ni kuwa salama.
Hawa watu ni wahuni Tu wanaunganisha sinema ili ije kukamilika Kwa membe ndiyo amehusika na asiaminiwe tena na wananchi.MaCCM yanataka kuuana
Hakuna ajabu hapo kama Sergei Skripal na bintie Yulia wapo salama baada ya miili yao kushambuliwa na sumu hatari sana ya Novichok nerve agent kule Salisbury, England.Kwa CCM Mangula kupatikana na sumu mwilini mwake siyo jambo la ajabu, jambo la ajabu ni kuwa salama.
Sinema hiii nduguu...WanaCCM hawaachiani maji ya kunywa mezani - Kikwete
Daktari hawezi zungumzia suala lililopo mikononi mwa polisi. Si kila kitu daktari anatakiwa kukizungumza.Sio kila kitu polisi waseme. Hilo suala la kidaktari ilishindikana nini daktari akaongelea hilo tena huwenda angekuja na maelezo ya kitaalamu zaidi.
"Polisi wameelezea namna mkazi wa Buza alivyoshinda Jackpot"
Utafurahi, usitujumuishe, sisi sio nyumbu toka nairobiKwa hiyo polisi wamekuwa madaktati? Ni CCM so whatever happens. Tutagurahi9...good riddance
Mi nilisha mpa rip tayari,,, mwandishi aniombe radhi.Kichwa Cha habari limekaa vibaya sana...Nusura motor rambirambi..
Hata mimi nimeshangaa!Kichwa Cha habari limekaa vibaya sana...Nusura motor rambirambi..