Polisi: Mzee Philip Mangula amekutwa na sumu mwilini, ni baada ya kufanyiwa uchunguzi

Polisi: Mzee Philip Mangula amekutwa na sumu mwilini, ni baada ya kufanyiwa uchunguzi

Ninafikiria kwa nini Polisi watoe tamko hili na tena kwa kuhitimisha na vitisho? Kulikoni...tumekuwa na matukio mengi yanayodaiwa watu kuwekewa sumu hatujaona reaction ya namna hii ya polisi! Lakini sasa tunaaminishwa kuwa hapo ofisi ndogo ya CCM kuna ufisadi mkubwa wa kutaka kuondoa roho za viongozi!
 
Pohamba,
Kwani yeye alikuwa kinyume na “mzee wa Mtama”? Ongea kitu kwa uhakika mkuu kabla hujachafua majina ya watu kwasababu zako binafsi.
 
Pohamba,
Mkuu mbona kama tembea yako na maneno yako hufananii na wale aseee
 
Ntakuja kuwapa kisa kilipoanzia hadi kuwatoa Wizaran kina Emanuel Nchimbi na Shamsi Vuai pamoja na Hamis Kagasheki kwny Operation Tokomeza ambao wote walikuwa team Mamvi
Usisahau aisee.

Mangula kalazwa siku kadhaa lakin taarifa ya kuwekewa sumu imetolewa masaa machache baada ya Mzee wa Mtama kurudi Nchini
Duh!.. kuwindana huku
 
Na yawezekana ni uongo, isipokuwa kuna jambo linapitishwa/ kuhamisha mijadala, mambosasa si wa kuaminiwa.
- KumbukiziMTAFUTANO.jpg
 
Back
Top Bottom