Kwani ndio wakwanza huyu? Mbona hata yule aliyekimbizwa india rafiki yake ambae ni marehemu kwasasa alikiri wazi kabisa kuwa rafiki yake kapewa sumuCCM mmeanza kumalizana wenyewe...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ndio wakwanza huyu? Mbona hata yule aliyekimbizwa india rafiki yake ambae ni marehemu kwasasa alikiri wazi kabisa kuwa rafiki yake kapewa sumuCCM mmeanza kumalizana wenyewe...
Mbona hata Mwakalyayembe ali-survive.Kwa CCM Mangula kupatikana na sumu mwilini mwake siyo jambo la ajabu, jambo la ajabu ni kuwa salama.
Kabla hakuwa na hiyo sumu?Jpm!"niliwahi kuwekewa sumu !nikaomba kujiuzulu wakanikatalia"!Leo Mangula ana sumu mwilini baada ya kumfukuza membe Chamani!!!Naendelea kuunganisha data!kwa mbaaaali na nusa ugoro!!!ACHA NIPIGE CHAFYA NTARUDI BAADAE!!!
Tukisema ianzishwe Bureau ya Investigation ambayo ina watu wenye professional zao wengi wanapinga.Sio kila kitu polisi waseme. Hilo suala la kidaktari ilishindikana nini daktari akaongelea hilo tena huwenda angekuja na maelezo ya kitaalamu zaidi.
"Polisi wameelezea namna mkazi wa Buza alivyoshinda Jackpot"
"....litachukua hatua kali kwa mtu yeyote atakaye bainika kupanga,......." napata shida kuelewa hii "statement" kwani zaidi ya kukamata, kuchunguza na kumpeleka mtuhumiwa mahakamani hatua kali zinazongunzwaga na Jeshi letu ni zipi kwa mujibu wa Katiba?
Uandishi wa namna hii siyo mzuri hata kidogo....Jana nilishtuka sana....! Hivi hata Moderators hawajaona tatizo kwenye uandishi wa maneno ".............Mwili wa Mzee Philip Magula umekutwa na sumu....." ? Hivi ilishinidikana vipi kuandika kuwa ".....Mzee Mangula agundulika kuwa na sumu mwilini..."Bwana Mambosasa amesema mwili wa Mangula umekutwa na sumu.
Totopendwa aka nyamitakoVipi hii sumu angepewa mnyika tuhuma humu ndani angerushiwa nani?
Jasusi mbobezi na ametumia mbinu yake kongwe aliiweka kwenye kifaa sikitaji nisije nikarahisisha uchunguzi
Uandishi wa namna hii siyo mzuri hata kidogo....Jana nilishtuka sana....! Hivi hata Moderators hawajaona tatizo kwenye uandishi wa maneno ".............Mwili wa Mzee Philip Magula umekutwa na sumu....." ? Hivi ilishinidikana vipi kuandika kuwa ".....Mzee Mangula agundulika kuwa na sumu mwilini..."