Polisi na Magereza watunishiana Msuli Iringa

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Naaaaaam naona kila MTU atafikiwa Tu. Ni suala la Muda Tu. Hapa ni Tanzania Prisons wakiwa wamezuiliwa Iringa kwa kosa la Overspeeding, normal speed ilitakiwa iwe 80km/HR yeye kaendesha kwa 85km/HR. Wakamdaka kuanzia saa tano asubuhi Hadi jioni.

Jamaa wa Prison anapiga mkwara kuwa very soon Polisi "watawaelewa" Tu. Naam kama huna bando la mawazo angalia video hapa.
Your browser is not able to display this video.
 
Nasikia ameshashughulikiwa kinidhamu tayari huyo.
 
Pale vibaka wanapovamia mtaa wa vibaka wenzao.

Inapendeza sana sasa nyumba moja imeanza kufarakana kwa ugomvi wa ndani wao kwa wao.

Wananchi sasa wameonyesha mfano ukijaribu tu vioo vinasagwa na mawe na mtekaji anafia humo humo ndani ya gari

Ahsanteni sana Tegeta kwa ndevu , hiyo ndio maana halisi ya kazi iendelee.
 
Sio lazma waseme
kia wanataka kuwadhalilisha vitendo vinaonyesha kua wamewadhalilisha,nyie kama mna la kufanya fanyeni tuu na muache mkwara,,kwanza Kwa nn hamjauana tuu ,??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…