Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana!Asante mama kwa kutufikisha KILELE cha machafuko
Manyigu YanaumanaMwanzo Mzuri sana
Amang'ana GasarikileHatimaye meno ya Mbwa yaanza kung'atana.
Askari magereza sio polisiSasa wote si polisi? Na wote ni product ya CCP ππ
Kuna agenda zinasukwa kwa kas sana kuelekea 2025...
Wazir wa Utumish kaa chonjo π
Nasikia ameshashughulikiwa kinidhamu tayari huyo.Naaaaaam naona kila MTU atafikiwa Tu. Ni suala la Muda Tu. Hapa ni Tanzania Prisons wakiwa wamezuiliwa Iringa kwa kosa la Overspeeding, normal speed ilitakiwa iwe 80km/HR yeye kaendesha kwa 85km/HR. Wakamdaka kuanzia saa tano asubuhi Hadi jioni.
Jamaa wa Prison anapiga mkwara kuwa very soon Polisi "watawaelewa" Tu. Naam kama huna bando la mawazo angalia video hapa.
View attachment 3171523
kia wanataka kuwadhalilisha vitendo vinaonyesha kua wamewadhalilisha,nyie kama mna la kufanya fanyeni tuu na muache mkwara,,kwanza Kwa nn hamjauana tuu ,??Naaaaaam naona kila MTU atafikiwa Tu. Ni suala la Muda Tu. Hapa ni Tanzania Prisons wakiwa wamezuiliwa Iringa kwa kosa la Overspeeding, normal speed ilitakiwa iwe 80km/HR yeye kaendesha kwa 85km/HR. Wakamdaka kuanzia saa tano asubuhi Hadi jioni.
Jamaa wa Prison anapiga mkwara kuwa very soon Polisi "watawaelewa" Tu. Naam kama huna bando la mawazo angalia video hapa.
View attachment 3171523
Kama hujui kaa kmya magereza sio polisi na wala sio product ya ccpSasa wote si polisi? Na wote ni product ya CCP ππ
Kuna agenda zinasukwa kwa kas sana kuelekea 2025...
Wazir wa Utumish kaa chonjo π