ShyaRuwa
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 7,895
- 13,643
Kilugha cha wapi?Amang'ana Gasarikile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kilugha cha wapi?Amang'ana Gasarikile
Jamaa wa Prison anapiga mkwara kuwa very soon Polisi "watawaelewa" Tu.
Yego YegoAmang'ana Gasarikile
Wana laana wote za damu za watu!!! Hawa magereza juz tu wamekua huko singida mgombea Kwa kumiminia risasa nne !!Kikosi Maalum Cha Kutuliza Ghasia Magerezani (KMKGM) vs FFU Fanya Fujo Uone Field Force Unit
Tujue nani mwamba Magereza vs Polisi kupitia vikosi vyao maalum KMKGM vs FFU
2025 tutafika tukiwa hoi kwa hizi drama 😄Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana!
Inawezekana watanzania hatujui tu ila inavyoonekana kimatendo ni kama vile polisi wamekabidhiwa nchi.Naaaaaam naona kila MTU atafikiwa Tu. Ni suala la Muda Tu. Hapa ni Tanzania Prisons wakiwa wamezuiliwa Iringa kwa kosa la Overspeeding, normal speed ilitakiwa iwe 80km/HR yeye kaendesha kwa 85km/HR. Wakamdaka kuanzia saa tano asubuhi Hadi jioni.
Jamaa wa Prison anapiga mkwara kuwa very soon Polisi "watawaelewa" Tu. Naam kama huna bando la mawazo angalia video hapa.
View attachment 3171523
ZitachapwaSasa wote si polisi? Na wote ni product ya CCP 😂😂
Kuna agenda zinasukwa kwa kas sana kuelekea 2025...
Wazir wa Utumish kaa chonjo 😂
PoliCCMInawezekana watanzania hatujui tu ila inavyoonekana kimatendo ni kama vile polisi wamekabidhiwa nchi.
Polisi wenye AKILI anzeni haraka sana kuhamia wizara nyingine,mtanishukuru siku moja,nasema hivyo kwa sababu hakuna mtu mwenye Akili TIMAMU alielihitaji jeshi la polisi hapa Tanzania kwa sasa,kama ww ni polisi king'ang'anizi baki humo,kumbuka baba wa Taifa aliwahi futa jeshi kumbe ni kazi rahisi sana.Narudia tena hakuna mtu mwenye AKILI anayelihitaji jeshi la Polisi hadi sasa.Kazi kwenu mmekuwa kero kwa kila kiumbe cha nchi hii shauri yenu,ipo siku mtalia na kusaga meno na hamtapata msaada.Naaaaaam naona kila MTU atafikiwa Tu. Ni suala la Muda Tu. Hapa ni Tanzania Prisons wakiwa wamezuiliwa Iringa kwa kosa la Overspeeding, normal speed ilitakiwa iwe 80km/HR yeye kaendesha kwa 85km/HR. Wakamdaka kuanzia saa tano asubuhi Hadi jioni.
Jamaa wa Prison anapiga mkwara kuwa very soon Polisi "watawaelewa" Tu. Naam kama huna bando la mawazo angalia video hapa.
View attachment 3171523
Alooo nchi imefikia patamu mpaka rahaNaaaaaam naona kila MTU atafikiwa Tu. Ni suala la Muda Tu. Hapa ni Tanzania Prisons wakiwa wamezuiliwa Iringa kwa kosa la Overspeeding, normal speed ilitakiwa iwe 80km/HR yeye kaendesha kwa 85km/HR. Wakamdaka kuanzia saa tano asubuhi Hadi jioni.
Jamaa wa Prison anapiga mkwara kuwa very soon Polisi "watawaelewa" Tu. Naam kama huna bando la mawazo angalia video hapa.
View attachment 3171523
Darasa la form failureHapo polisi wamezingua! RTO anatafuta sifa huyo atakuwa mgeni wa majukumu
Si wangewapiga faini tu ili wachangie mapato ya serikali.Naaaaaam naona kila MTU atafikiwa Tu. Ni suala la Muda Tu. Hapa ni Tanzania Prisons wakiwa wamezuiliwa Iringa kwa kosa la Overspeeding, normal speed ilitakiwa iwe 80km/HR yeye kaendesha kwa 85km/HR. Wakamdaka kuanzia saa tano asubuhi Hadi jioni.
Jamaa wa Prison anapiga mkwara kuwa very soon Polisi "watawaelewa" Tu. Naam kama huna bando la mawazo angalia video hapa.
View attachment 3171523