Polisi na Magereza watunishiana Msuli Iringa

Polisi na Magereza watunishiana Msuli Iringa

Naaaaaam naona kila MTU atafikiwa Tu. Ni suala la Muda Tu. Hapa ni Tanzania Prisons wakiwa wamezuiliwa Iringa kwa kosa la Overspeeding, normal speed ilitakiwa iwe 80km/HR yeye kaendesha kwa 85km/HR. Wakamdaka kuanzia saa tano asubuhi Hadi jioni.

Jamaa wa Prison anapiga mkwara kuwa very soon Polisi "watawaelewa" Tu. Naam kama huna bando la mawazo angalia video hapa.
View attachment 3171523
Inawezekana watanzania hatujui tu ila inavyoonekana kimatendo ni kama vile polisi wamekabidhiwa nchi.
 
Naaaaaam naona kila MTU atafikiwa Tu. Ni suala la Muda Tu. Hapa ni Tanzania Prisons wakiwa wamezuiliwa Iringa kwa kosa la Overspeeding, normal speed ilitakiwa iwe 80km/HR yeye kaendesha kwa 85km/HR. Wakamdaka kuanzia saa tano asubuhi Hadi jioni.

Jamaa wa Prison anapiga mkwara kuwa very soon Polisi "watawaelewa" Tu. Naam kama huna bando la mawazo angalia video hapa.
View attachment 3171523
Polisi wenye AKILI anzeni haraka sana kuhamia wizara nyingine,mtanishukuru siku moja,nasema hivyo kwa sababu hakuna mtu mwenye Akili TIMAMU alielihitaji jeshi la polisi hapa Tanzania kwa sasa,kama ww ni polisi king'ang'anizi baki humo,kumbuka baba wa Taifa aliwahi futa jeshi kumbe ni kazi rahisi sana.Narudia tena hakuna mtu mwenye AKILI anayelihitaji jeshi la Polisi hadi sasa.Kazi kwenu mmekuwa kero kwa kila kiumbe cha nchi hii shauri yenu,ipo siku mtalia na kusaga meno na hamtapata msaada.
 
Naaaaaam naona kila MTU atafikiwa Tu. Ni suala la Muda Tu. Hapa ni Tanzania Prisons wakiwa wamezuiliwa Iringa kwa kosa la Overspeeding, normal speed ilitakiwa iwe 80km/HR yeye kaendesha kwa 85km/HR. Wakamdaka kuanzia saa tano asubuhi Hadi jioni.

Jamaa wa Prison anapiga mkwara kuwa very soon Polisi "watawaelewa" Tu. Naam kama huna bando la mawazo angalia video hapa.
View attachment 3171523
Alooo nchi imefikia patamu mpaka raha
 
Naaaaaam naona kila MTU atafikiwa Tu. Ni suala la Muda Tu. Hapa ni Tanzania Prisons wakiwa wamezuiliwa Iringa kwa kosa la Overspeeding, normal speed ilitakiwa iwe 80km/HR yeye kaendesha kwa 85km/HR. Wakamdaka kuanzia saa tano asubuhi Hadi jioni.

Jamaa wa Prison anapiga mkwara kuwa very soon Polisi "watawaelewa" Tu. Naam kama huna bando la mawazo angalia video hapa.
View attachment 3171523
Si wangewapiga faini tu ili wachangie mapato ya serikali.

Lakini safi sana maana ufalme unaojifitini hausimami
 
Back
Top Bottom