Polisi na Magereza watunishiana Msuli Iringa

Polisi na Magereza watunishiana Msuli Iringa

Nipende kutoa pongezi kwa Mama yetu kwa kutumia intelijensia kuwakamata Tanzania prisons kwa kosa la kuzidisha spidi. Pia nipende kuwapongeza polisi na rto kwa kutuma silaha za moto na mabomu kwa Tanzania prisons. Nipende kuzisihi na kuziomba taasisi nyingine zikae kwa utulivu kwani kila mtu atafikia na madhira haya.
Nimecheka kama mazuri
 
Vita ya panzi furaha kwa kunguru.

Waendelee kutunishiana misuli tu mpk tufike nchi ya ahadi, inaweza kuwa wao ndio wabeba hatma.!
 
Naaaaaam naona kila MTU atafikiwa Tu. Ni suala la Muda Tu. Hapa ni Tanzania Prisons wakiwa wamezuiliwa Iringa kwa kosa la Overspeeding, normal speed ilitakiwa iwe 80km/HR yeye kaendesha kwa 85km/HR. Wakamdaka kuanzia saa tano asubuhi Hadi jioni.

Jamaa wa Prison anapiga mkwara kuwa very soon Polisi "watawaelewa" Tu. Naam kama huna bando la mawazo angalia video hapa.
View attachment 3171523
Wazungu wanasema, "our chicken are coming home to roast" Unapereka vilaza wa form 4,wale waliofeli chini kabisa, wawe polisi! Unategemea nini?
Yaani huyu mpuuzi anaamini kwa vile yeye ni polisi, ana haki yq kuvunja sheria, na anategmea polisi kitengo cha barabarani, wamuache! Pimbi kabisa, stupidity of highest level
 
Nakubaliana na wewe.ata ukiwa na rafiki akawa police ana badilika kabsaa hili nme lishuhudia kwa rafiki zangu wawili. Kazi ya kishenzi sana hii

O
Hata ukiwa na msala wa kawaida tu na pengine umesingiziwa yaani anakuwa anakukataa kiaina na tena anajifanya file lipo mamlaka za juu, na hapo hujamwomba msaada
 
Hapo hatujawasikia polisi wenyewe kutolea ufafanuzi......... mzee wangu alikuwa dereva katika taasisi binafsi alikuwa anasafiri sana alinifundisha kuwa unaposimamishwa na traffic jitahidi kucontrol approach. .. .. hakuna mwanaume anayepinda kuonekana siyo mwanaume
 
Kwa nini isiwe kesho tu??

mimi niko upande wa jeshi la Magereza

Magereza piga hao
 
Kuna police mmoja unakuta anakuja na gari la kazin PT anapaki barabaran tu hawa watu wapewe semina
 
Naaaaaam naona kila MTU atafikiwa Tu. Ni suala la Muda Tu. Hapa ni Tanzania Prisons wakiwa wamezuiliwa Iringa kwa kosa la Overspeeding, normal speed ilitakiwa iwe 80km/HR yeye kaendesha kwa 85km/HR. Wakamdaka kuanzia saa tano asubuhi Hadi jioni.

Jamaa wa Prison anapiga mkwara kuwa very soon Polisi "watawaelewa" Tu. Naam kama huna bando la mawazo angalia video hapa.
View attachment 3171523
Kwahiyo wao Magereza wana haki ya kuvunja sheria? Je wakigonga na kusababisha vifo watasemaje
Huyo anayeongea kuwa ipo siku polisi watakipata wanachokitaka hana akili kabisa, kauli ya kwamba wao wote ni askari haina mashiko na siyo sababu ya wao kukiuka sh sheria
 
Back
Top Bottom