Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
- #61
Nimecheka kama mazuriNipende kutoa pongezi kwa Mama yetu kwa kutumia intelijensia kuwakamata Tanzania prisons kwa kosa la kuzidisha spidi. Pia nipende kuwapongeza polisi na rto kwa kutuma silaha za moto na mabomu kwa Tanzania prisons. Nipende kuzisihi na kuziomba taasisi nyingine zikae kwa utulivu kwani kila mtu atafikia na madhira haya.