Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Polisi tamaa na rushwa zinawaharibu snOfcoz magereza mafunzo yao yamejikita zaidi kwenye ukakamavu na kuwarekebisha wahalifu kuwa raia wema kwenye jamii ndio maana nchi za wenzetu including Zanzibar wanaita chuo cha mafunzo sio magereza maana wamebase zaidi kwenye rehabilitation even marekani wanaita Correction facility. Polisi ni mwehu tu mafunzo yao mazuri lakini hawayatilii maanani wanahisi yale mafunzo ya ukakamavu yamelenga uhuni tu. Ni wahuni wahuni tu.
Uwapende au uwachukie wao wapo tuKumbe magereza kama Chadema tu πππ
Nyie mna hamu na machafuko, sisi msituhusisheAsante mama kwa kutufikisha KILELE cha machafuko
Hilo la laana mbona linajulikana.Polisi ni viumbe wa ajabu sana
Nadhani wanalaana viumbe hawa
Nawaza sana huko kwenye mafunzo yao kuna madawa yakuwafanya wawe kama mazombi.
Huko wanakowaachia!Ivii mbona watu mnawachukia Sana POLISI. Ivi wasipo fanya kazi masaa 12 tuu mtaenda kuripoti wapi vibaka walowapaka mafuta uko mtaanii.
Umeonaeeee!! Sasa karibu tunafika!!Mwanzo Mzuri sana
Nilikataa nafasi ya upolisi pale Kayanga Karagwe!! Jamaa zangu waninimbeleza sana!! nikawambia sitaki kazi ya laana!!Ukiwa police tyr ushakuwa na laana hadi kufa kwako. Hii kazi sio ya kumshauri mwanao akafanye heri
mtafutie issue zingine. POLICE NI LAANA
nimecheka sanaπππππππNaaaaaam naona kila MTU atafikiwa Tu. Ni suala la Muda Tu. Hapa ni Tanzania Prisons wakiwa wamezuiliwa Iringa kwa kosa la Overspeeding, normal speed ilitakiwa iwe 80km/HR yeye kaendesha kwa 85km/HR. Wakamdaka kuanzia saa tano asubuhi Hadi jioni.
Jamaa wa Prison anapiga mkwara kuwa very soon Polisi "watawaelewa" Tu. Naam kama huna bando la mawazo angalia video hapa.
View attachment 3171523
Mama anaupiga mwingi!!Nipende kutoa pongezi kwa Mama yetu kwa kutumia intelijensia kuwakamata Tanzania prisons kwa kosa la kuzidisha spidi. Pia nipende kuwapongeza polisi na rto kwa kutuma silaha za moto na mabomu kwa Tanzania prisons. Nipende kuzisihi na kuziomba taasisi nyingine zikae kwa utulivu kwani kila mtu atafikia na madhira haya.
Tatizo la nchi yetu ni double standards. Sheria hio hio inamhukumu raia ila mkuu wa polisi akiivunja panabakia kimya tuRTO hapa kakosea kabisa, 85 km/hr alafu Bus la timu ya Magereza ilikuwa 90km/hr na kawashika, hapa busara haijatumika kabisa, huyo RTO naamini atatumbuliwa siku 1 au 2 zijazo, hao ni askari wenzake hakutakiwa kufanya hivyo.
Hivi Samia huwa anashauriwa na nani!? Maana huyu mshauri hamtakii mwema kabisa!! Mara kifo ni kifo tu!! mara Mbowe na gaidi! haya Sasa mambo yamechemka!! ujiandae kukimbia nchi!!Ni aibu sana kuona.jeshi kwa jeshi wanasumbuana kiasi hiki - tena wizara moja.Lkn huu ni ushindi kwa wapenda haki - huu ni mpango wa Mungu - It means hata wenzao wameanza kuona jinsi polisi wanavyozingua na kufanyakazi bila ufanisi.
Zaidi ni visasi na hisia..kwa nini wasiwapige fine kama sheria inavyosema na wakaendelea na safari yao??
Polisi ni kama bomu - ipo siku litalipuka tu...