Polisi na Magereza watunishiana Msuli Iringa

Polisi na Magereza watunishiana Msuli Iringa

Ofcoz magereza mafunzo yao yamejikita zaidi kwenye ukakamavu na kuwarekebisha wahalifu kuwa raia wema kwenye jamii ndio maana nchi za wenzetu including Zanzibar wanaita chuo cha mafunzo sio magereza maana wamebase zaidi kwenye rehabilitation even marekani wanaita Correction facility. Polisi ni mwehu tu mafunzo yao mazuri lakini hawayatilii maanani wanahisi yale mafunzo ya ukakamavu yamelenga uhuni tu. Ni wahuni wahuni tu.
Polisi tamaa na rushwa zinawaharibu sn
 
Iringa wapuuzi sana niliwakuta hao jamaa wapo mafinga katikati ya pori wametoka sehemu yao ya polisi check point wakisumbua magari huku wakiwa eneo ambalo ni hatari hata kwao wenyewe ni vile hawajui kuwa magari ni Bomu linalotembea..
 
Huyu jamaa ndio kachoma utambi wazee wa magereza kabisa.

Kukamatwa ni sahihi sana kwao maana ikitokea ajali madhara hayachagui mtu wa kuwa mhanga.

Ingekuwa sawa kama wangekuwa kwenye shughuli za kijeshi. Sasa kusema sisi ni wizara moja maana yake nini?, hapo jamaa hajawaza sawa sawa.

NIDHAMU ni msingi wa polisi na askari wote, na NIDHAMU ni utii na kuna hawa watu wanaosimamia Utii wa sheria, bila shurti ukileta ujuaji ndio wanakupa bonas ya shurti.
 
Huyu anaitwa A/Insp Bright Mbwilo, kwa maelekezo ya Afande CGP, kishavuliwa Nafasi ya uongozi wa timu leo asubuhi, pia karudishwa kituoni kwake, na hadi jioni hii maktabu imeanza dhidi yake.

Ameongea kihanarakati zaidi kuliko Nafasi yake kama mtendaji ndani ya serikali. Alishindwa kukemea mwendo mbaya wa Dereva wake wa spidi 125 kwa mujibu wa VTS

Alishindwa kumuelekeza Dereva wake kusimama aliposimamishwa na askari wa barabarani Kuanzia huko Kagera.

Huyu hatambui kuwa awapo barabarani yeye ni abiria tu na marehemu mtarajiwa wa ajali za barabarani

Huyu mkaguzi haelewi kuwa jukumu la TRAFIKI ni kudhibiti mwendo wa ovyo na kuzuia ajali. Na ndicho kilichokuwa kinatekelezwa hapo
IMG-20241208-WA0003.jpg
 
Ivii mbona watu mnawachukia Sana POLISI. Ivi wasipo fanya kazi masaa 12 tuu mtaenda kuripoti wapi vibaka walowapaka mafuta uko mtaanii.
 
Nilishuhudia miaka ya nyuma TUKUYU MAGEREZA NA POLICE lakini police hawana mafunzo asee walichapwa police 8 kwa magereza 4 mkono mkono na kutishiana kwa kwa week nne sakata likaisha Badae police wakawa wanaelemewa na Doria zao wakawa wanawaomba MAGEREZA kampani ila safi nimependa WANANCHI TUUNGANE NA MAREZA KUWANYOSHA ADABU MBWA
 
Inatakiwa hivyo Sheria iheshimiwe Kwa wote. Hebu fikiria wote Tanzania tunaendesha gari uelekeo wa kushoto. Sasa anakuja mwanajeshi asiyefuata sheria yeye aendeshe mkono wa kulia. Unadhani Nini kitatokea!
 
Ukiwa police tyr ushakuwa na laana hadi kufa kwako. Hii kazi sio ya kumshauri mwanao akafanye heri
mtafutie issue zingine. POLICE NI LAANA
Nilikataa nafasi ya upolisi pale Kayanga Karagwe!! Jamaa zangu waninimbeleza sana!! nikawambia sitaki kazi ya laana!!
 
Naaaaaam naona kila MTU atafikiwa Tu. Ni suala la Muda Tu. Hapa ni Tanzania Prisons wakiwa wamezuiliwa Iringa kwa kosa la Overspeeding, normal speed ilitakiwa iwe 80km/HR yeye kaendesha kwa 85km/HR. Wakamdaka kuanzia saa tano asubuhi Hadi jioni.

Jamaa wa Prison anapiga mkwara kuwa very soon Polisi "watawaelewa" Tu. Naam kama huna bando la mawazo angalia video hapa.
View attachment 3171523
nimecheka sana🙂🙂😀😀😀😀😀
 
bora mambo yachemke chap chap tujue mbivu na mbichi ni zipi.. naona kuna anza kuchangamka kidogo.. mpaka mwakani mwezi june kuna mahala tutakuwa tumeshafika na nasubiri kwa hamu kuona hatma ya aya maswala
 
Nipende kutoa pongezi kwa Mama yetu kwa kutumia intelijensia kuwakamata Tanzania prisons kwa kosa la kuzidisha spidi. Pia nipende kuwapongeza polisi na rto kwa kutuma silaha za moto na mabomu kwa Tanzania prisons. Nipende kuzisihi na kuziomba taasisi nyingine zikae kwa utulivu kwani kila mtu atafikia na madhira haya.
Mama anaupiga mwingi!!
 
Hii wizara waziri wake ina shida labda waziri sio waziri kwa ujumla bado kuna mambo hayako sawa.
 
RTO hapa kakosea kabisa, 85 km/hr alafu Bus la timu ya Magereza ilikuwa 90km/hr na kawashika, hapa busara haijatumika kabisa, huyo RTO naamini atatumbuliwa siku 1 au 2 zijazo, hao ni askari wenzake hakutakiwa kufanya hivyo.
Tatizo la nchi yetu ni double standards. Sheria hio hio inamhukumu raia ila mkuu wa polisi akiivunja panabakia kimya tu
 
Ni aibu sana kuona.jeshi kwa jeshi wanasumbuana kiasi hiki - tena wizara moja.Lkn huu ni ushindi kwa wapenda haki - huu ni mpango wa Mungu - It means hata wenzao wameanza kuona jinsi polisi wanavyozingua na kufanyakazi bila ufanisi.
Zaidi ni visasi na hisia..kwa nini wasiwapige fine kama sheria inavyosema na wakaendelea na safari yao??
Polisi ni kama bomu - ipo siku litalipuka tu...
Hivi Samia huwa anashauriwa na nani!? Maana huyu mshauri hamtakii mwema kabisa!! Mara kifo ni kifo tu!! mara Mbowe na gaidi! haya Sasa mambo yamechemka!! ujiandae kukimbia nchi!!
 
Back
Top Bottom